RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,877
- 5,444
Ndo Maana Jamaa Ametoa maneno ya Isaya Itafikia Hatua Wanawake 7 wote hawana wa Kuwaoa wakiwemo hao uliowataja Eti hawawezi ndoa.. Watatafuta Wanaume wa Kuwaliwaza hawatawapata maana Kila Mwanaume atakuwa na Mwanamke ndani AmemuwekaSio kila mwanamke anafaa kuwa mke wengine wanajitambua kuwa ndoa hawawezi ndio maana unawaona hivyo walivyo.
Hayo maneno yenu waswahili ndo yanafanya mwanamke anaolewa ili jamii ifurahi ione na yeye kaolewa, yaani maneno ya watu yanampush kwenye ndia asiyoitaka na asiyoiweza.
Nyie ndio mnasababisha ndoa zisiheshimike kwa kulazimisha kila mwanamke aolewe. Haipo hivyo!
Na Kinachotokea Sasa Hivi. Wezi wa Waume za Watu wamejaa Mitaani. Si wamama watu wazima.. si Wanafunzi wa Vyuo wote wanatafuta Wanaume wa Kuwaliwaza