Wanawake kwisha habari yao

Wanawake kwisha habari yao

Kwaiyo hawa watoto wetu watakosa wa kuwaoa badae?
Hawawezi kukosa wa kuwaoa ila watakaoolewa ni wale wenye nguvu ya kiuchumi na wadhifa
Huenda usieleweke kurahisi! Lkn ni jambo lililopo sasa.
Wanawake wengi wametoka majumbani wapo mitaani kutafuta pesa. Na vijana wengi hawapendi kuoa wanawake golikipa (asie na kazi). Na wanawake nao wanahamasishana kupitia vikundi mbali mbali kujikwamua kiuchumi.

Kwasasa hivi wanaume wanaoa wanawake ambao wenye angalau kitu kinachowaingizia pesa. Lkn episode inayofuata hao wanawake watazidiana kipato na wenye kipato kikubwa ndio watawazibiti wanaume. Hapo wanaume hawataangali mwenye angalau tena.
 
Huenda usieleweke kurahisi! Lkn ni jambo lililopo sasa.
Wanawake wengi wametoka majumbani wapo mitaani kutafuta pesa. Na vijana wengi hawapendi kuoa wanawake golikipa (asie na kazi). Na wanawake nao wanahamasishana kupitia vikundi mbali mbali kujikwamua kiuchumi.

Kwasasa hivi wanaume wanaoa wanawake ambao wenye angalau kitu kinachowaingizia pesa. Lkn episode inayofuata hao wanawake watazidiana kipato na wenye kipato kikubwa ndio watawazibiti wanaume. Hapo wanaume hawataangali mwenye angalau tena.


Hapo ndipo ule mwisho utakapofika -in masihi voice
 
mkuu usemacho ni kweli tupu... yaan mwanamke bila kuolewa ni ubatili mtupu.. mwanamke ambye hajaolewa mie naonaga kama hata hawastahili kuishi..
nani atajuheshimu wewe mwanamke kama hjaolewa?
vipaumbele vyetu viwe KUOLEWA TU...vingine majaaliwa!asante kaka kwa kuwafunulia hyo siri
 
mkuu usemacho ni kweli tupu... yaan mwanamke bila kuolewa ni ubatili mtupu.. mwanamke ambye hajaolewa mie naonaga kama hata hawastahili kuishi..
nani atajuheshimu wewe mwanamke kama hjaolewa?
vipaumbele vyetu viwe KUOLEWA TU...vingine majaaliwa!asante kaka kwa kuwafunulia hyo siri
Mnawaheshimu walioolewa kwa lipi la maana?
 
Mleta mada nakukumbusha tu kuwa kuna maisha pia bila ndoa. Kuna watu wanajuta na ndoa zao kiasi cha kujitoa uhai. Ni heri niwe peke yangu ila niishi kwa amani kuliko kuikimbilia ndoa itakayogeuka ndoano!
Hahahahaha hivi utajisikiaje unapokutana na Marafiki zako wote wana waume zao hata kama Wanagombana Ugomvi huwa hawauweki barabarani kila mtu Aone...

Utajisikiaje Umefikisha miaka 40 Unajuliakana Mtaa mzima Hujawahi kuvalishwa Pete ya Ndoa wakati majira zako wanaenda makanisani na Misikitini na Waume na Watoto wao

kiburi cha Mwanamke hukomeshwa na Umri.. endelea kujidanganya
 
Hauendani kivipi Mkuu? Hujui maudhuo yaliyomo ndani ya unabii huo nikufafanulie. Tafsiri ni kuwa siku zinakuja wanawake wengi(Isaya ameona aweke 7) Watakosa wanaume wa kuwaoa. Itafikia kipindi mwanamke atajitongozesha kwa mwanaume huku akisema atajihudumia mwenyewe, iwe chakula, mavazi, na matumizi mengine. Tena wengine itafikia hatua atajua kabisa fulani anamke lakini hatajali atakachojali ni kuwa na mwanaume. Hii mbona tayari ipo sana mjini.

Sasa wapi unabii hauendani na wakati.
Haahahah Unabishana Na Mtu ambaye hajawahi kuolewa lazima Apinge tu maana Wanaume wanamkimbia anaona Unamsema moyo unamchoma
 
Hahahahaha hivi utajisikiaje unapokutana na Marafiki zako wote wana waume zao hata kama Wanagombana Ugomvi huwa hawauweki barabarani kila mtu Aone...

Utajisikiaje Umefikisha miaka 40 Unajuliakana Mtaa mzima Hujawahi kuvalishwa Pete ya Ndoa wakati majira zako wanaenda makanisani na Misikitini na Waume na Watoto wao

kiburi cha Mwanamke hukomeshwa na Umri.. endelea kujidanganya
Twende mbele turudi nyuma haya maneno ni mazito sana kwamba una miaka 40 hujawai kuvishwa Pete na marafiki zako wote wanandoa zao wewe huna hapo kuna gepu tuu,Sasa anayebisha ha ha ha ha ni hatari sana,ushauri kwa wanawake mlio kwenye ndoa basi kuweni siriasi na ndoa zenu,maana ukweli ni kwamba wanawake mpo wengi kuliko wanaume
 
Sawa. Mume ndo anapata hiyo heshima na sio nyie jamii inayomzunguka.
 
Sio kila mwanamke anafaa kuwa mke wengine wanajitambua kuwa ndoa hawawezi ndio maana unawaona hivyo walivyo.
Hayo maneno yenu waswahili ndo yanafanya mwanamke anaolewa ili jamii ifurahi ione na yeye kaolewa, yaani maneno ya watu yanampush kwenye ndia asiyoitaka na asiyoiweza.
Nyie ndio mnasababisha ndoa zisiheshimike kwa kulazimisha kila mwanamke aolewe. Haipo hivyo!
Hahahahaha hivi utajisikiaje unapokutana na Marafiki zako wote wana waume zao hata kama Wanagombana Ugomvi huwa hawauweki barabarani kila mtu Aone...

Utajisikiaje Umefikisha miaka 40 Unajuliakana Mtaa mzima Hujawahi kuvalishwa Pete ya Ndoa wakati majira zako wanaenda makanisani na Misikitini na Waume na Watoto wao

kiburi cha Mwanamke hukomeshwa na Umri.. endelea kujidanganya
 
mkuu usemacho ni kweli tupu... yaan mwanamke bila kuolewa ni ubatili mtupu.. mwanamke ambye hajaolewa mie naonaga kama hata hawastahili kuishi..
nani atajuheshimu wewe mwanamke kama hjaolewa?
vipaumbele vyetu viwe KUOLEWA TU...vingine majaaliwa!asante kaka kwa kuwafunulia hyo siri
Duh....
 
Sawa. Mume ndo anapata hiyo heshima na sio nyie jamii inayomzunguka.


Familia ndio huibua Jamii. Ikiwa ukoo wanawake wengi wameachika au hawajaolewa inaleta tafsiri mbaya kwa ukoo huo. Acha kujidanganya Mkuu. Wazungu wenyewe wanajua thamani ya ndoa, au wewe unawaangalia wa kwenye luninga ambao hawana tofauti kubwa na kina Wema?
 
Back
Top Bottom