Mleta mada nakukumbusha tu kuwa kuna maisha pia bila ndoa. Kuna watu wanajuta na ndoa zao kiasi cha kujitoa uhai. Ni heri niwe peke yangu ila niishi kwa amani kuliko kuikimbilia ndoa itakayogeuka ndoano!
🤣🤣🤣🤣🤣🤝Yaonekana umekataliwa kuwa muwazi mkuu hahahah
Wewe wasemaAcha kujifariji kihivyo,sema umekosa mwanaume.
Huu ndo unabii wenyewe anaousema mleta mada.Mleta mada nakukumbusha tu kuwa kuna maisha pia bila ndoa. Kuna watu wanajuta na ndoa zao kiasi cha kujitoa uhai. Ni heri niwe peke yangu ila niishi kwa amani kuliko kuikimbilia ndoa itakayogeuka ndoano!
Wewe utakuwa muhanga maana sio kwa ubishi huu. Maandiko matakatifu ndivyo yanavyosema wewe kwanini kuwa mbishi?Labda upo sahihi lakini ni choice tu ya mtu. Ukiona mtu amejiweka kutotaka ndoa basi ujue kuwa hataki sio wa kuolewa huyo.
Na pia si kila mwanamke ni wa kuolewa..wengine wapo kwaajili ya matumizi mengine. So usilazimishe aolewe jua kuwa hana huo mwelekeo. So tafuta mwenye muelekeo huo umuoe usilazimishe jinsi unavyotaka wewe iwe.
"Usiogope Laachi nipo na wewe milele,wewe sio sehemu ya unabii huu(haukuhusu).mimi ni mzalendo, toa tafsiri
Wanawake wa siku hizi wameolewa na maendeleo sio wanaume tena walahi
Achana na kuwasema vibaya wanawake utakufa walahi
Kazi tunayo ifanya mkituudhi huwa tuna ongea na ARDHI IWAMEZE WEWE NA KIZAZI CHAKO MILELE YOTE WALAHI