DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 32,348
- 83,299
.... Morning
Naswali nataka kuuliza hivi kwanini wanawake wanjaa na vitu vidogo sana unaweza ..kukuta mwanamke mtu mzima ..lakini anagombea ugali na maharagwe hali yakuwa anafanya Kazi ..au mme wake kila kitu anampa ..lakin akimuona mgeni roho inamluka ..anambania ugali au upolo tu.
Majibu tafadhari.
Naswali nataka kuuliza hivi kwanini wanawake wanjaa na vitu vidogo sana unaweza ..kukuta mwanamke mtu mzima ..lakini anagombea ugali na maharagwe hali yakuwa anafanya Kazi ..au mme wake kila kitu anampa ..lakin akimuona mgeni roho inamluka ..anambania ugali au upolo tu.
Majibu tafadhari.