Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,791
...
Ishhh sawa kwani na sie wengine tumeficha documents???
Nashangaa........sisi documents zetu zote zipo........watafute zao huko.....wasituletee..........
Kwanini usingemshauri jamaayako aka report polisi kuwa documents zake zimepotea alafu aka process mpya? Kuna ugumugani kutoa huo ushauri?
Kikubwa nilichoelewa ni kwamba una gari..
Enhe baada ya kuelewa!! Luv
Najiuliza wazee wazamani walikua wanauliza wapi majanga ka haya? Make bandle hazikuwepo wala cha jf.
 hongera kwa kumiliki gari bro, maana najua ulitaka kutujulisha pia
Najiuliza wazee wazamani walikua wanauliza wapi majanga ka haya? Make bandle hazikuwepo wala cha jf.