DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,970
Yes mkuu nilimshauri hivyo pia ila ushauri wangu mwingine ulibezi kwenye kukaa vikao kwani kwa namna yeyote ile itakuwa mke ndo kachukua
Unawezaje kuitisha kikao cha wazazi kisa tu documents hazionekani? Huwezi kuitisha vikao basing on hisia...lazima uwe una ushahidi wa kutosha kuwa mkewako amezichukua!