Wanawake kwa fitina P square chali.

Na ndio wamekwisha kimziki maana umapacha wao umekuwa kivutio na umewabeba somehow...siku hizi kuna kina Davido wanakuja juu (sijuhi kana miaka 20 nasikia) wao wanaremba...

Nasikia wameshaita na Lawyer wagawane mali maana they share kila kitu

Kama ni kweli wamefarakana kwa sababu ya wanawake basi nao vilaza!!
 
hii ni hatari aisee huyo dem mmachame au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…