nyumba kubwa JF-Expert Member Joined Oct 8, 2010 Posts 10,309 Reaction score 8,398 Apr 21, 2014 #21 Na ndio wamekwisha kimziki maana umapacha wao umekuwa kivutio na umewabeba somehow...siku hizi kuna kina Davido wanakuja juu (sijuhi kana miaka 20 nasikia) wao wanaremba... Nasikia wameshaita na Lawyer wagawane mali maana they share kila kitu Ennie said: Kama ni kweli wamefarakana kwa sababu ya wanawake basi nao vilaza!! Click to expand...
Na ndio wamekwisha kimziki maana umapacha wao umekuwa kivutio na umewabeba somehow...siku hizi kuna kina Davido wanakuja juu (sijuhi kana miaka 20 nasikia) wao wanaremba... Nasikia wameshaita na Lawyer wagawane mali maana they share kila kitu Ennie said: Kama ni kweli wamefarakana kwa sababu ya wanawake basi nao vilaza!! Click to expand...
gstar JF-Expert Member Joined Jun 19, 2011 Posts 822 Reaction score 1,511 Apr 21, 2014 #22 hii ni hatari aisee huyo dem mmachame au?
M Msababishaji Member Joined Apr 5, 2014 Posts 23 Reaction score 5 Apr 21, 2014 #23 atakuwa mmachame tu au jamii hiyohiyo
M Molembe JF-Expert Member Joined Dec 25, 2012 Posts 9,932 Reaction score 11,863 Apr 21, 2014 Thread starter #24 Msababishaji said: atakuwa mmachame tu au jamii hiyohiyo Click to expand... Wana unasaba na Ufoo Saro.
Msababishaji said: atakuwa mmachame tu au jamii hiyohiyo Click to expand... Wana unasaba na Ufoo Saro.