Wanawake kuweni na huruma

Wanawake kuweni na huruma

Eti hit and run. Now days wanaume wa ukweli wana hit,hit,hit and hiiiit atarun yeye. Kama huna ela piga kimya. Wenye nazo watatoa buana.
Kwanza sh ngapi?

Kwa hiyo ni Kuhiiiiiiiiiiiiiiiiiiiit tu hadi ihitikeeeeeeee au sio...!! Ama kweli wasio na pesa wakomae na Tumbili...!!
 
wala sijazini....ninachosema ni kuwa nachukiaaaa...nachukia sana hawa kina dada kila wakati nipe hela sijui ya kusuka sijui ya kazi gani...sikupi hata shilingi..kwani ananipa nani mimi?..kila time wao ni ombaomba..ukuniomba hela nakupiga chini!!sisemi ni mchoyo kwani ombaomba nawatolea kiroho safi,michango ya mitaani nimo,ila kimtu kizima na miakili imejaa kichwanu mbona nikipe hela?..hela sio zawadi aisee!!.wenyewe tumechacharika sana kabla hatujapata wewe utokee utokako uanze kuombaomba?..hebu shika adabu zako jamani!!
Hiyo ni life style ya maisha yako
 
Eti hit and run. Now days wanaume wa ukweli wana hit,hit,hit and hiiiit atarun yeye. Kama huna ela piga kimya. Wenye nazo watatoa buana.
Kwanza sh ngapi?
Sindiyo hapo namshangaa tena hawa ndiyo waongaji wakubwaaa wanakuja huku nyoko nyoko nyoko hawana loloteee fyuuuu

Mwanamme asiye honga hayupo , asiye toa huduma kwa mpenzie hayupo, asiye msaidia mpenziwe hayupo hiki kizazi cha sasa km ukibisha we jeuri
 
Eti hit and run. Now days wanaume wa ukweli wana hit,hit,hit and hiiiit atarun yeye. Kama huna ela piga kimya. Wenye nazo watatoa buana.
Kwanza sh ngapi?
nna buku bee
 
Wewe unakutana na miwanawake isiyo na akili na mienda wazimu alafu unaita wanawake! Mwanamke yeyote lazima awe TOGETHER! PESA IPO NA IMEJAA TELE! Mna share matumizi! Mwanamke siyo omba omba hata siku moja!
 
Sindiyo hapo namshangaa tena hawa ndiyo waongaji wakubwaaa wanakuja huku nyoko nyoko nyoko hawana loloteee fyuuuu

Mwanamme asiye honga hayupo , asiye toa huduma kwa mpenzie hayupo, asiye msaidia mpenziwe hayupo hiki kizazi cha sasa km ukibisha we jeuri

mbona tupo wengi tu
 
Wewe unakutana na miwanawake isiyo na akili na mienda wazimu alafu unaita wanawake! Mwanamke yeyote lazima awe TOGETHER! PESA IPO NA IMEJAA TELE! Mna share matumizi! Mwanamke siyo omba omba hata siku moja!

mkuu funguka tukuelewe
 
Ndiooo. Au hujui??? Ndio nakupa hiyo


Okey., nimeipata..!! Maserati..!! Naomba nikuulize swali ivi ww ni Mbongo mwenzetu kweli ..?? Au ni koko..?? ( Sina nia mbaya lkn) Kadiri hisia zangu zinavyonituma huwa nahis wew si mbongo but mzamiaji...!! Samahan lkn chondechonde ndo mana cjakuuliza privately...!!!

Ni kutokana na aina ya uandishi wako na si avatar..!
 
Nikalale zangu hamna cha maana hapa wamehonga akina nyerere mtakuwa nyie wanaume suruali tena visoseji ( chips mayai )
 
Mwanamke hawezi omba pesa kwa mwanamume!
 
Nikalale zangu hamna cha maana hapa wamehonga akina nyerere mtakuwa nyie wanaume suruali tena visoseji ( chips mayai )

haya usiku mwema [HASHTAG]#kuchunamwiko[/HASHTAG]
 
e163259e281dbb834acddd2a9ab7f7f9.jpg
 
labda ww ila wenzako sio poa wanaomba kama wanadai den
Wendawazimu hao! Achana nao kabisa maana ni mizigo paseee! Itakusumbua tu! Mtu asiye jithamini ni hatari sana kwenye relationship maana input ni 0! RUN!
 
Wendawazimu hao! Achana nao kabisa maana ni mizigo paseee! Itakusumbua tu! Mtu asiye jithamini ni hatari sana kwenye relationship maana input ni 0! RUN!
 
Back
Top Bottom