Wanawake karibia wote wamevimba makalio, mtatumaliza jamani!

Wanawake karibia wote wamevimba makalio, mtatumaliza jamani!

mie nikikerana na mama watoto siongei kitu nachukua daladala kutoka sinza hadi posta mida ile wanatoka kazini, basi nitatizama vyuura pale wee ikifika saa 3 napanda daladala kurudi sinza hata nikifika nyumbani hasira zishaisha
Bhuahahahaha dah nimecheka Sanaa mkuu
 
mie nikikerana na mama watoto siongei kitu nachukua daladala kutoka sinza hadi posta mida ile wanatoka kazini, basi nitatizama vyuura pale wee ikifika saa 3 napanda daladala kurudi sinza hata nikifika nyumbani hasira zishaisha
Daaaaaaa ww jamaaa umefanya siku yangu iwe bora sana
 
Jamani siku hizi wanawake karibia wote wamevimba makalio sijui wanatumia nini wananpa shida yani niko mjini kila saa nageuza shingo kidogo nigongwe na magari.
Hawajavimba, wamenenepeana.
Halafu hao ni mama zako'ujue! Toa comment kwa adabu.
 
mie nikikerana na mama watoto siongei kitu nachukua daladala kutoka sinza hadi posta mida ile wanatoka kazini, basi nitatizama vyuura pale wee ikifika saa 3 napanda daladala kurudi sinza hata nikifika nyumbani hasira zishaisha

Heri yako wewe, ugonjwa wa moyo utakuwa mbali nawe.

Good way ya kuondoa ukakasi rohoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom