Wanawake karibia wote wamevimba makalio, mtatumaliza jamani!

Wanawake karibia wote wamevimba makalio, mtatumaliza jamani!

b815952f06f4e37b0795680e3324f0ae.jpg
 
Sie weusi kuna fuse mungu haku zi-install wakati Wa uumbaji ndio kiss wenzetu weupe wapo tofauti sana na sisi,ukiishi nao utalitambua hili...tunaumiza vichwa kwa mambo yasiyo ya msingi
 
Chura hazoeleki ni kama somo la hesabu tu.

Wanafki watajifanya hawajui
 
Jamani siku hizi wanawake karibia wote wamevimba makalio sijui wanatumia nini wananpa shida yani niko mjini kila saa nageuza shingo kidogo nigongwe na magari.[/QUO
Kwa wanawake wa Dar, angalia tu uvimbe wa makalio na nyonga wako sawa ila wakikugeukia hiyo sura, apetaiti inakata saa hiyohiyo.
 
Hebu acheni maskhara nyie zike housing za vijambio si mchezo mi nishawahi kugeuza shingo niko na wife nikajifanya kuna mtu nimemfananisha kumbe housing la mavi limesumbua barabarani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom