weka pichaJamani siku hizi wanawake karibia wote wamevimba makalio sijui wanatumia nini wananpa shida yani niko mjini kila saa nageuza shingo kidogo nigongwe na magari.
hapana mkuu mi kaflat kangu naenda kama nasukumwaHata wewe miss Chaga umefungasha nn?
Nakuona mama ipoipo sio mbayaza mama Ndalichako izo.................
Huyu naye vipi, Si awaangalie tu walioko mbele yake? Au ni wanaume tu walikuwa mbele yakesasa kama ni mengi unageuka kuangalia nini au wanapita huku wanacheza mdundiko

ha haaha anatamaaHuyu naye vipi, Si awaangalie tu walioko mbele yake? Au ni wanaume tu walikuwa mbele yake![]()
![]()
Basi muda si mrefu tutasikia Bwana alitoa na Bwana ametwaaha haaha anatamaa

mwache akarutubishe ardhiBasi muda si mrefu tutasikia Bwana alitoa na Bwana ametwaa![]()
![]()
hutaki kufaidi mkuuhahahaaaa, mjinga.![]()
![]()
![]()
![]()
Nipo hospitali nafungwa P.O.P ya shingo kwa mambo hayohayo ya kuangalia upande mmoja![]()
hapana mkuu mi kaflat kangu naenda kama nasukumwa
ningeshangaa kweli miss Chagga siyo mambo yenu kabisa hayo tunawaachia akina miss Bantu.mie nikikerana na mama watoto siongei kitu nachukua daladala kutoka sinza hadi posta mida ile wanatoka kazini, basi nitatizama vyuura pale wee ikifika saa 3 napanda daladala kurudi sinza hata nikifika nyumbani hasira zishaisha
Ha ha ha ha!mie nikikerana na mama watoto siongei kitu nachukua daladala kutoka sinza hadi posta mida ile wanatoka kazini, basi nitatizama vyuura pale wee ikifika saa 3 napanda daladala kurudi sinza hata nikifika nyumbani hasira zishaisha