miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
ndiyo mkuu nakapenda kweliningeshangaa kweli miss Chagga siyo mambo yenu kabisa hayo tunawaachia akina miss Bantu.
ndiyo mkuu nakapenda kweliningeshangaa kweli miss Chagga siyo mambo yenu kabisa hayo tunawaachia akina miss Bantu.
sitakiTupiamo kapcha miss chaga
muonee wenzako huruma. anateswa na mavyura yenuUroho wako, kama kila mwanamke kavimba makalio huzoei tu ukaendelea na mengine yanayokuhusu? Gongwa salama
sijakuona ujue?sitaki
naja hukosijakuona ujue?
Uroho wako, kama kila mwanamke kavimba makalio huzoei tu ukaendelea na mengine yanayokuhusu? Gongwa salama
kufaidi nini?? au unamaanisha ule mtandao maarufu wa 0715 ?? tehhutaki kufaidi mkuu

Hapana miondokokufaidi nini?? au unamaanisha ule mtandao maarufu wa 0715 ?? teh![]()
We acha tu ndugu me mwenyew nipo kituo cha polisi hapa baada ya kumwaga karanga za watu wakati nageuka kumtazama bint mmoja amejazia kinouma nomaJamani siku hizi wanawake karibia wote wamevimba makalio sijui wanatumia nini wananpa shida yani niko mjini kila saa nageuza shingo kidogo nigongwe na magari.