Wanawake kama hawa hatari, wanaume kuweni makini

Pole I can understand.
 
The same situation happened to my cousin, walikaa uchumba wa muda mrefu, wakazaa mtoto mpaka akaanza shule wazazi bado ni wachumba, cousin hakuvunjika moyo kwa sababu alishatambulishwa kwa wazazi wa mwanaume na ndugu wote wanamfahamu, alikuja kushtushwa kuskia mwanaume ndoa imetangazwa kanisani kwa mara ya kwanza, akaanza kuhaha kuweka pingamizi la ndoa, but it was too late. Tulimshauri aachane naye asilazimishe mapenzi yakaja kumtumbukia nyongo. Kaachwa single mother.
 
ni mkoa gani huo?
 
Fungua moyo tu
 
Na gereza pia litakuhusu.
Sio rahisi kibongobongo, mpaka upelelezi ukamilike ntakua nishazeeka kabisa sifai hata kufunga.

Kwani wale walomng'oa jamaa kucha na meno wamekamatwa?

Walomuua mawazo wako wapi?

Waliolipua bomu ktk mkutano wa CDM arusha wako wapi?

Mtukane kiongozi mkubwa leo, kesho umeshakamatwa ila sisi walalahoi hahahaha....upelelezi unaendelea.
 
tatizo ni elimu tu, kwani ukiachwa au kuacha kuna tatizo gani??? na kuroga mwenzako unapata faida gani?? kwa sababu kama kupoteza muda ni wote mmepotezeana muda, ndo mana whites wana ndoa za mikataba na wakiachana kila mtu anaendelea na maisha yke.
 
Kuna mmoja ye alimuacha mwamamke wakiwa Ktk uchumba yule dada alieachwa akasubir jamaa aoe akaaamua kumeteka yule mke wa jamaa akadai 5 millions ikabid jamaa apeleke jamaa hakujua mchezo huo hadi Leo
Duh love worth 5 million,?? if I were told to put a tag nisingeweza kuthaminisha...
 
tatizo ni elimu tu, kwani ukiachwa au kuacha kuna tatizo gani??? na kuroga mwenzako unapata faida gani?? kwa sababu kama kupoteza muda ni wote mmepotezeana muda, ndo mana whites wana ndoa za mikataba na wakiachana kila mtu anaendelea na maisha yke.
Yaonekana hayajawai kukukuta,ukikua utaelewa
 
 
Usijipe moyo ndugu, hivi unafikiri upelelezi utafanyika Ukiwa uraiani? Wakati upelelezi ukiendelea unakuwa umepumzishwa nyuma ya nondo, ndipo hapo utakapotambua kuwa hasira hazijengi. Kuachwa kunauma sana sana, kubwa ni kuwa na subira na kujipa muda, after sometime yatapita utabaki huru. Kuliko Kuachwa kisha uozee rumande,unakuta umekosa vya Bara na vya Pwani kwa wakati mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…