Niwemugizi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 902
- 462
Jamani wanawake jitahidini kuwa na sauti nyororo hata kwa kula mayai mabichi na mdalasini ili mradi sauti zenu ziwe nyororo na zikae sawa, ebwana leo nimeumbuka asikuambie mtu.Kuna client wangu nilikuwa nawasiliana nae kwenye simu kwa ajiri ya biashara na bahati mbaya ana jina ambalo huwezijua kama ni la kike ama la kiume,hueziamini zimepita kama wiki moja nikawa nafikiria ni mwanaume.Jana nikamwambia aje ofisini ili tuweze kujadiliana namna ya kumpunguzia bei maana anachukua mzigo mkubwa.Ebwana nakuambia alivofika nimebaki naduwaa kumwona eti ni mwanamke.Jamani rai yangu wanawake jitahidini kuwa na sauti nyororo sio mnakuwa na sauti kama ng'ombe anaeenda machinjioni.Sauti nyororo ina raha zake bwana yaani hata kama mdada ni wa kawaida ila akiwa na sex voice inapendeza sana bwana.Tafadharini sana wanawake wenye sauti ya kukwaruza kama vyura jitahidini kuziremba maana naamini sauti nyororo pia zinasaidia hata kuhamasisha.Ni hayo tu kwa leo