Wanawake jamani

Wanawake jamani

IMG_0017_3.jpg

Mmh huyu akiwa uchi mbele ya kioo anafananaje ? Vuta hiyo picha
 
Jamani, mtoto wa kike anashinda na jeans imebanaaaa, hewa haicirculate huko ndani, tena kwa joto kama la Dar hapo anafuga fungus na bacteria.
-mtoto wa kike anachambia tissue
-Ana kucha ndefu jini kasingiziwa yani hapo hata bibi hasafishwi vizuri.
Hapo akikuvulia lazima panoge!
 
ntaweka pressure washer getho ili nikipata wa hivyo nimpitishie hiyo kitu
 
namkubalia Karucee kabisaaa...kuna wanaume wanaonukia balaa tena akikuhug scent yake ibaki uuwiii ul imagne of so many thngs..jamani..cleanliness is of vital importance in attraction
 
Jamani kuna wanaume wasafi wanajipendaaaaa. Manina zao aisee.

They smell so good. Look so good you wanna eat them whole.

Yaani kama ni pipi unakula na wrapping yake aisee.

Kama mimi vile😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Jamani kuna wanaume wasafi wanajipendaaaaa. Manina zao aisee.

They smell so good. Look so good you wanna eat them whole.

Yaani kama ni pipi unakula na wrapping yake aisee.

Pafyumu zinaficha mengi asikwambie mtu hasa wakaka anaweza asioge hata siku 3 ananawa uso tu anapiga pamba fresh pafyumu yake iko wapi fyuuuu ndo imetoka io na madem anaingiza kama kawa wakimaliza yakwao unaona wanasindikizana bila hata kuoga anazunguka weee kuja kumuona usiku kwakwel we differ..
 
Hata wanaume pia kwa VIKWAPA na UBUNDO WA BOXER!!!,!! Mhhhhhhh! Na kumfuga RICK ROSS huko chini sasa! Ka msitu wa EQUATOR!

Ila wanawake wenzangu unakuta mtu MIKUCHA MIREFUU kuleee, jtatu hadi jtau hadi unajiiliza anachamba vipi huyu mwenzetu? Anaoshaje zana zake? Ndo maana watu wanavunda wanaosha juu juu tu.

ni bora umefunguka ujue unaeza ukuwa na boy asikuambie bt kwenye safu hii ndo turekebishane coz hatuonan ila kama una utash we mwenyewe utajirekebisha
 
Pafyumu zinaficha mengi asikwambie mtu hasa wakaka anaweza asioge hata siku 3 ananawa uso tu anapiga pamba fresh pafyumu yake iko wapi fyuuuu ndo imetoka io na madem anaingiza kama kawa wakimaliza yakwao unaona wanasindikizana bila hata kuoga anazunguka weee kuja kumuona usiku kwakwel we differ..

lakin kuna tofaut kat ya mwanamke na mwanaume nyie mkitembea kidogo tu noma plus kutoosha kwa ufasaha ni disaster
 
Mwaya sisi wanawake hatusemwi bure.

Minywele harufuuu. Makucha kama ulivyosema. Mi huwa najiuliza huko chini wamekufa ganzi? ------.

ni bora umenena karucee mana mi nilipanga nifungue ladieswash{badala ya carwash)
 
Ni kwl kn baadhi ya wanawake huwa hawajui nn maana ya usaf kwa mwanamke hs sehem nyeti na inabid tujirekebishe..lkn pia asilimia kubwa ya wanaume wakienda toi kutoa haja ndg huwa hawanawi na hawamkung'uti vzr babu akaisha mikojo,, wakimaliza haja wanachukua mzg wanarudisha kwny boxer ss ndo useme ukutane na mwanamke htr yaan na km unavyojua mtt wa kike mahaba..mwnyw kajitutumua amvue mpnz wk surual daaah haruf ya mikojo inackika,, hy ss amaliza kumvua boxer ndo balaa hl citu lililoachwa hk ni balaa ht mpnz wk ham inaisha ss inabid ht atoke nje akanunue wembe aanze kaz nyngn ss ya kufyeka mctu...mmmh hiii ni kero kwt wakina dada kwhy wt inabid turekebishe tabia jmn
 
Mwaya sisi wanawake hatusemwi bure.

Minywele harufuuu. Makucha kama ulivyosema. Mi huwa najiuliza huko chini wamekufa ganzi? ------.

hapo umenena bby nadhani wale chini wameoza kwa kweli unakuta mdada ana makucha kabandika kapaka rangi tofauti tofauti unajiuliza jini au binadamu...ina maana hajichambi ....
juu kaweka minywele ya rasta mkisimama kwnye daladala unatamani kumwambia dada hujisikii unanuka???tubadilike loooo
 
=> Mwingine akipanua tu mapaja UNASIKIA HARUFU ZA JALALA LA MIKOJO....very scented papuchi...ppruuuuuhhh....tchaaaaa...aaa..!!!! na uume unaanza kulala hapo hapo...mmmhh...!!!!
 
Back
Top Bottom