Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,179
- 34,435
hapo umenena bby nadhani wale chini wameoza kwa kweli unakuta mdada ana makucha kabandika kapaka rangi tofauti tofauti unajiuliza jini au binadamu...ina maana hajichambi ....
juu kaweka minywele ya rasta mkisimama kwnye daladala unatamani kumwambia dada hujisikii unanuka???tubadilike loooo
Ma weave yamekaa sijui mda gani. The stench sasa. Hair spray, pink lotion zote zimeform layer kichwani. Hapo ongeza cheap perfume, does lotions. I ----ing hate it.