This decade will see a lot of corrupt and repressive governments collapse like bubbles!Mambo duniani yanaenda kasi sana. Njaa haina baunsa.
View attachment 3528110
View attachment 3528111
adriz de mbusii
YesMambo duniani yanaenda kasi sana. Njaa haina baunsa.
View attachment 3528110
View attachment 3528111
adriz de mbusii
Kushindwa kutenganisha dini na Serikali lilikuwa kosa kubwa sana. Raia hawawezi kuichukia Serikali bila kuichukia dini yenyewe!Yes
Change is inevitable
Hii itatembea dunia nzima
Ila duh kuchoma misikiti na hijab ndo inanishangaza
Mashia dini mitihani sasa ni muda wa kuweka utawala wa KisunniMambo duniani yanaenda kasi sana. Njaa haina baunsa.
View attachment 3528110
View attachment 3528111
adriz de mbusii
huo utawala wa kishia ukianguka na kusimamishwa wa kisuni utatuambia, kwani wasuni hawavai hijabu?Mashia dini mitihani sasa ni muda wa kuweka utawala wa Kisunni
Utawala wa Kiislam wa Iran ukianguka, Iran itaachana na uislam kuna uwezekano mkubwa itakuwa atheist, Zorostrian au itakuwa wananchi wake wengi watakuwa WakristuMashia dini mitihani sasa ni muda wa kuweka utawala wa Kisunni