Wanawake Iran wachoma hijab barabarani

Wanawake Iran wachoma hijab barabarani

Ukienda pale Zanzibar mianamke hata mkono hakupi yanakwepesha eti haramu afu ukiyaangalia sura nzito😁😁

ona pisi za Iran zinavuta Hadi sigara 😬
Kweli pale Zenj manamake yote mafututendo _ma polygon _njino ndema kinoma. Juzi nilikuwa nafuatlia hafla ya uzinduzi wa hoteli kila nikiperuzi sura za wanawake nilikuwa nacheka peke yangu , yaani yote kama madume.
 
Waandamani wamebeba mabango yaliyoandikwa
 

Attachments

  • G-ThZvVWgAAYcK8.jpeg
    G-ThZvVWgAAYcK8.jpeg
    116.9 KB · Views: 4
Siku hawa ndugu zetu wakihakikishiwa Usalama basi tutaona wimbi kubwa la Waislamu kuikimbia hii dini. Hii mikwara ya utauwawa ukihama dini imewaweka kifungoni wengi sana.

Wanaoipata fresh kuhusu hii mifumo sio wa huku ni hao wa Arabuni na Mashariki ya kati kiujumla. Ndio maana wakitaka kuhama nchi huwa hawaendi nchi za Kiarabu wala Kiislamu wanakimbilia kwa Makafiri.

Maoni yangu.
 
Kushindwa kutenganisha dini na Serikali lilikuwa kosa kubwa sana. Raia hawawezi kuichukia Serikali bila kuichukia dini yenyewe!
Uislam ni dini ya kulazimishwa, hasa huko Urabuni. Watu wanakubali kufuata wanachoambiwa kwa sababu ya hofu ya kuuawa, lakini wengi hawaamini wanachokiabudu. Karne zinzofuata, zitashuhudia kuanguka kwa uidlam Duniani, utabakia kwa wale tu waliokuwa wakifuata kwa sababu wanayaamini mafundisho yake, siyo kwa wanaolazimishwa.
 
Siku utawala ule wa kishetani ukiondolewa, kuna siku, kwa mapenzi ya Mungu, nitaenda Iran.
 
Kama Mashia sio ajabu


Hayo ndio matunda ya utawala wa kishia. Halafu kutwa kucha kuwasakama Ahlus Sunnah na Nchi zao.

Ukifuatilia wanaojua habari za Iran watakuambia kumekuwa kukienea mno usekula na chuki kali dhidi ya Uislam na Waislam miongoni mwa mashia rafidha wa Iran. Mpaka mahekalu yao ya kishia yanakosa watu.

Hayo ndio matunda ya makafiri akina Khamenei na genge lake.

Hili ni tofauti na Ahlus-Sunnah wa Iran ambao ukienda maeneo yao kama vile Ahwaz, Baluchistan, Sistan, Kurdistan na kadhalika mwamko wa Dini ni mkubwa sana, misikiti inajaa na zaidi idadi yao inaongezeka zaidi, wanazaliana sana Maa Shaa Allah, huku mashia rafidha kuzaliana kwao kunapungua.

Huwezi kuifananisha dola ya kirafidhi ya Iran na nchi yoyote ya Kiislam licha ya madhaifu yoyote utakayoyaona kwenye Nchi hizo.

Ushia ni ukafiri na ni geti la kupelekea u atheism na kupinga Dini kwa ujumla.

Allah Airudishe Iran katika mikono ya Ahlus-Sunnah kama ilivyokuwa zamani, Hakika Yeye Allah ni Muweza juu ya kila kitu, Allahumma Aamiin
 
Siku hawa ndugu zetu wakihakikishiwa Usalama basi tutaona wimbi kubwa la Waislamu kuikimbia hii dini. Hii mikwara ya utauwawa ukihama dini imewaweka kifungoni wengi sana.

Wanaoipata fresh kuhusu hii mifumo sio wa huku ni hao wa Arabuni na Mashariki ya kati kiujumla. Ndio maana wakitaka kuhama nchi huwa hawaendi nchi za Kiarabu wala Kiislamu wanakimbilia kwa Makafiri.

Maoni yangu.


Hii propaganda ya kusema waarabu wanakimbia sana nchi zao kwenda kwa wengine sio kweli. Hata kwenye nchi zilizoathirika na vita kama Syria ukitazama wakimbizi wengi wanakimbilia kwa waarabu wenzao kuliko Ulaya na Marekani. Wapalestina wengi wamejaa Nchi za kiarabu. Nchi za kiarabu zenye Amani na utulivu na maendeleo zina wahamiaji wengi mno.

Na zaidi Uislam ni Dini inayokuwa kwa kasi duniani na iko imara hata katika Nchi za Mashariki ya kati ukitoa Iran ambayo population yake ya kishia inakuwa secularized mno na haishangazi kwa sababu dini ya ushia haimake sense kabisa ila Iran hiyo hiyo population ya kiSunni inaongezeka kwa kasi na In Shaa Allah, fursa ikipatikana Uislam sahihi utaenea tu Iran kama ilivyokuwa zamani kabla mashia hawajaichukua Iran huko karne ya 16 miladia. Kabla mashia safavid hawajaichukua Iran karne ya 16 na ku commit genocide dhidi ya Ahlus-Sunnah na wengine kukimbia, kabla ya huo uvamizi Iran ilikuwa Nchi ya KiSunni.

Allah Airudishe Iran katika mikono ya Ahlus-Sunnah, Allahumma Aamiin
 
Uislam ni dini ya kulazimishwa, hasa huko Urabuni. Watu wanakubali kufuata wanachoambiwa kwa sababu ya hofu ya kuuawa, lakini wengi hawaamini wanachokiabudu. Karne zinzofuata, zitashuhudia kuanguka kwa uidlam Duniani, utabakia kwa wale tu waliokuwa wakifuata kwa sababu wanayaamini mafundisho yake, siyo kwa wanaolazimishwa.


"Hamatan" meza hii ukweli chungu mno kwako; THE FUTURE IS FOR ISLAM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom