Wanawake Iran wachoma hijab barabarani

Wanawake Iran wachoma hijab barabarani

Karne ya Sasa ya uwazi ambapo mtu anapata habari popote huwezi kuendelea kudanganya watu kwa ngano za uongo za kidini

Yaani watu waone nchi nyingine zinakuwa na maendekeo ya kijamii na vitu wao waendelee kukomaa na kugandamizwa na babiric mosaic laws ambazo zilikuwrpo Dunia nzima na jamii zote katika kipindi Cha babarism na waliachana nazo wao wamezingangania na kudanganya watu eti zimeshushwa wakati mjanja Mmoja wa misri aitwaye OMAR bin KHALFAN ndiye aliyeandika?

Uarabuni kote watafuata kupata uhuru wao, na kumheshimu watu wote kama binaadamu. Unakuta watu wanawachukulia wanawake kama bidhaa ya ngono tuu na kukaa ndani!! wanafunikwa kama maiti ilivyofungwa na sanda eti wasiwatamani, hata sehemu ya ibada wanatengwa kama wagonjwa wa caranteen.Hata kugombea uongoxi hawaruhusiwi , kurndesha gari tuu kosa
 
Iran ni ya wairan ❤️ na yeyote atakayekubali kutumika Kwa faida ya wamagharibi kuliwa vichwa vyao ni lazima.
Nalog off Z
 
Hayo ndio matunda ya utawala wa kishia. Halafu kutwa kucha kuwasakama Ahlus Sunnah na Nchi zao.

Ukifuatilia wanaojua habari za Iran watakuambia kumekuwa kukienea mno usekula na chuki kali dhidi ya Uislam na Waislam miongoni mwa mashia rafidha wa Iran. Mpaka mahekalu yao ya kishia yanakosa watu.

Hayo ndio matunda ya makafiri akina Khamenei na genge lake.

Hili ni tofauti na Ahlus-Sunnah wa Iran ambao ukienda maeneo yao kama vile Ahwaz, Baluchistan, Sistan, Kurdistan na kadhalika mwamko wa Dini ni mkubwa sana, misikiti inajaa na zaidi idadi yao inaongezeka zaidi, wanazaliana sana Maa Shaa Allah, huku mashia rafidha kuzaliana kwao kunapungua.

Huwezi kuifananisha dola ya kirafidhi ya Iran na nchi yoyote ya Kiislam licha ya madhaifu yoyote utakayoyaona kwenye Nchi hizo.

Ushia ni ukafiri na ni geti la kupelekea u atheism na kupinga Dini kwa ujumla.

Allah Airudishe Iran katika mikono ya Ahlus-Sunnah kama ilivyokuwa zamani, Hakika Yeye Allah ni Muweza juu ya kila kitu, Allahumma Aamiin
Niliona mtandaoni kijana mdahalo kijana wa kishia na jamaa mmoja anayefanya midahalo na watu Wenye shaka na chochote au kuuliza chochote kinachowatatanisha kuhusu Uislamu.

Kijana wa Kishia alikuja na madai yake akanywea na kujiona mjinga mwenyewe, kwanza alikuwa hata ajui kuhusu ushia wenyewe akaulizwa madai yake ametoa kwenye Kitabu gani akawa hajui na akaulizwa mpaka sasa amesoma vitabu gani na vingapi kuhusu itikadi anayoamini hajui .

Akaambiwa sasa huku Ahlu sunna mtoto mdogo tayari Kuna vitabu kashasoma na ukimuukiza kila kitu katoa wapi anakupa jibu . Jamaa alikuja kwa mbwembwe alitoka mnyonge nafsi inamsuta hapo nikajua kuwa Mashia wengi hawasomeshwi hata ushia wenyewe zaidi ya kupewa visa feki tu .
 
Hayo ndio matunda ya utawala wa kishia. Halafu kutwa kucha kuwasakama Ahlus Sunnah na Nchi zao.

Ukifuatilia wanaojua habari za Iran watakuambia kumekuwa kukienea mno usekula na chuki kali dhidi ya Uislam na Waislam miongoni mwa mashia rafidha wa Iran. Mpaka mahekalu yao ya kishia yanakosa watu.

Hayo ndio matunda ya makafiri akina Khamenei na genge lake.

Hili ni tofauti na Ahlus-Sunnah wa Iran ambao ukienda maeneo yao kama vile Ahwaz, Baluchistan, Sistan, Kurdistan na kadhalika mwamko wa Dini ni mkubwa sana, misikiti inajaa na zaidi idadi yao inaongezeka zaidi, wanazaliana sana Maa Shaa Allah, huku mashia rafidha kuzaliana kwao kunapungua.

Huwezi kuifananisha dola ya kirafidhi ya Iran na nchi yoyote ya Kiislam licha ya madhaifu yoyote utakayoyaona kwenye Nchi hizo.

Ushia ni ukafiri na ni geti la kupelekea u atheism na kupinga Dini kwa ujumla.

Allah Airudishe Iran katika mikono ya Ahlus-Sunnah kama ilivyokuwa zamani, Hakika Yeye Allah ni Muweza juu ya kila kitu, Allahumma Aamiin
Aamiyn . Kuna siku nilisoma mahali Fulani nikashangaa kumbe Iran ilikuwa ngome madhubuti ya Ahlus_ Sunnah na walikuwa wengi sana katika nchi ya Iran
 
Aamiyn . Kuna siku nilisoma mahali Fulani nikashangaa kumbe Iran ilikuwa ngome madhubuti ya Ahlus_ Sunnah na walikuwa wengi sana katika nchi ya Iran


Kuna wanachuoni wengi sana wa Ahlus-Sunnah ambao wametokea maeneo ya Iran ya sasa.


Iran ilikuwa ni Nchi ya Ahlus-Sunnah tena Mashaafi'i.
 
Hongereni wairan Kwa kujielewa na kukataa kuonewa
Nalog off Z
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom