life coach
Senior Member
- Apr 11, 2017
- 121
- 401
Habari wana jamii.
Kwa sasa natengeneza video clip za dk moja ambazo huelezea jambo flani.Maelezo ya video hizo hubeba falsafa kubwa sana ambazo zimeandikwa katika mtindo mwepesi ili kufanya kila mtu aweze kuelewa kutokana na ufahamu wake.
Lengo kuu ni kuelezea mambo ambayo mimi binafsi naona ni sahii kwangu na kwa jamii ambayo yataiwezesha jamii kupiga hatua katika nyanja mbali mbali.
Nimejaribu kupost video humu ila imegoma,na link nayo imegoma.
Hivyo naweka jina la akaunti husika.
Rohonafsimwili.
Napatikana kwa jina hilo instagram na Twitter.
Pia kama kuna mtu anaweza kunielekeza namna ya kuweka link humu au kufanya video ikubali nitashukuru.
Asanteni.
Kwa sasa natengeneza video clip za dk moja ambazo huelezea jambo flani.Maelezo ya video hizo hubeba falsafa kubwa sana ambazo zimeandikwa katika mtindo mwepesi ili kufanya kila mtu aweze kuelewa kutokana na ufahamu wake.
Lengo kuu ni kuelezea mambo ambayo mimi binafsi naona ni sahii kwangu na kwa jamii ambayo yataiwezesha jamii kupiga hatua katika nyanja mbali mbali.
Nimejaribu kupost video humu ila imegoma,na link nayo imegoma.
Hivyo naweka jina la akaunti husika.
Rohonafsimwili.
Napatikana kwa jina hilo instagram na Twitter.
Pia kama kuna mtu anaweza kunielekeza namna ya kuweka link humu au kufanya video ikubali nitashukuru.
Asanteni.
