KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,513
Angelita bhana? atie kufuri tena? labda ulimaanisha kufuli,maana kufuri ni pichu ya kike mamii.Sasa ndiyo hasira umetuletea huku si umwambie tu hupendi, akigoma kuelewa tia kufuri.
Angelita bhana? atie kufuri tena? labda ulimaanisha kufuli,maana kufuri ni pichu ya kike mamii.Sasa ndiyo hasira umetuletea huku si umwambie tu hupendi, akigoma kuelewa tia kufuri.
wako wengi, nAkutaga wamefuta na namba za simu za wanawake wengine wanaonipa namba zao nikiwaombaHao wanawake wanaopekuwa simu yako ni wangapi mpaka uwasemee kwa "wingi"
Kila wakati uko kwenye Whatsapp inbox yangu, unaangalia nachat nini na mama yangu na dada yangu?
Huu ni upumbavu wa hali ya juu sana.
Nina haki ya faragha. Unaiingilia ili iweje?
Mbona mimi sichunguzi mawasiliano yako na ndugu zako?
Mianamke ya kiswahili haina adabu wala haina akili.
Muda unaotumia kupekua simu yangu si bora ukaongeze elimu na ujuzi wako?
Pumbavu
ni mwanamke sio Mke, wee mchina wa Wapi huelewi???Mmh! Mkiambiwa muishi single hamtaki. sasa unamuogopa mkeo unakuja kusemea huku.
ntamwambia yule nyoka wa kwenye gemu akushughulikieKumbe ni nokia ya tochi hata ningekua mimi ningepekua tu. Tena ningesoma hadi delivery reports.
umesha ambiwa uache dhambi, mbona husikii?Utaawajua kwa comments zao
Haha Haaaa haaaaNi nyakati za mashaka hizi....
Na kukosa imani ni rahisi.....
Hawa ndio vijana wetu wa kiume....tunaowatazamia kuwa ni vichwa vya familia.....ambapo wanashindwa hata kushughulikia suala dogo la kifamilia ambalo yeye ndio kichwa chake.......
Kwa vijana kiume wa aina hii....haishangazi kuona wanawake wakitaka usawa.....
Na wengine wakisema hakuna umuhimu wa kuolewa......
Uhuru na faragha vina mipaka yake ili viendelee kuleta tija kwenye ndoa......huo uhuru wa faragha bila ya mipaka unaouhubiri kwenye familia yako......siku moja utakufanya ulie kilio kikuu.......
Alafu kwanini una wasi wasi na mawasiliano yako na ndugu zako.....!???
Mnapanga mambo gani nyeti kiasi cha mkeo awe kikwazo......!!??
Kama unamuwekea mashaka hivyo kwenye mawasiliano ya ndugu zako.....ataamini vipi kama hao ndugu zako kweli....!??
Amini usiamini....mashaka hayo yanabomoa tofali moja moja kwenye kuta imara ya ndoa yako.....
TIME WILL TELL...
family affairsSir Bujibuji na mkewe
Kwani ndoa za mitara hazipo????Hao wanawake wanaopekuwa simu yako ni wangapi mpaka uwasemee kwa "wingi"
Haha Haaaa haaaa
wacha picha liendelee.
Muda wanaotumiaga kupekuwa simu za waume zao, wangeutumia kuwafanyisha watoto homework wangekuwa wanapata A tupu kwenye mitihani.... WANABOA SANA.... wasalimie SinzaKila wakati uko kwenye Whatsapp inbox yangu, unaangalia nachat nini na mama yangu na dada yangu?
Huu ni upumbavu wa hali ya juu sana.
Nina haki ya faragha. Unaiingilia ili iweje?
Mbona mimi sichunguzi mawasiliano yako na ndugu zako?
Mianamke ya kiswahili haina adabu wala haina akili.
Muda unaotumia kupekua simu yangu si bora ukaongeze elimu na ujuzi wako?
Pumbavu