mhalisi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,181
- 322
wadau, je ni kweli ni vigumu kwa mwanamke kumsifia mwanamke mwenzake kwamba ni mzuri wa sura, pia inasemekana mwanamke ujisikia vibaya pale ambapo mwanamke mwengine anaposifiwa mbele yake. je wadau hili swala ni la kweli? na kama ni kweli ni kwasababu gani hawasifihani?