Nilishawahi kusema humu kwamba hakuna kitu wanawake wanachukia kama condom watu wakanijia juu, heri useme na wewe mkuu. Kiuhalisia wanawake wengi japo sio wote hawataki kabisa kusikia kitu inaitwa ndom. Katika mishe zangu zote ni mwanamke mmoja tu ambae aliwahi kukomaa ile serious kabisa kwamba bila ndom hatoi mzigo! Wengi wala hua hawaiulizii na ikitokea akaikumbuka utasikia tu "una Condom?".... ukijibu "Sina"... utasikia "ohooo.. Shauri yako.. hujui kuna magonjwa..?" Hapo kamaliza sanasana aongezee "pls usikojoe ndani" mchezo umeisha.Mwanzo nilikuwa najua sisi wanaume tunawalazimisha wanawake kuwaingilia bila condom lakini nimekuja kujua wenyewe hawapendi sex na condom.mtu mmejuana leoleo na bado haogopi anataka upige kavukavu kweli kwa Maisha ya Sasa unamuamini mTU na humjui eti kwa kujidanganya kwamba ladha itapungua.katika wanawake kumi Basi utakuta wawili tu wanataka uvae kondom labda na Malaya wanaojiuza
Vaa Condom Kijana, Magojwa ni Mengi, Jali afya yako kama Unapenda kavu pima na mpenzi wako tena kuna vipimo vile vya uwakika vinavyo tambua Magojwa kwa haraka sanaNilishawahi kusema humu kwamba hakuna kitu wanawake wanachukia kama condom watu wakanijia juu, heri useme na wewe mkuu. Kiuhalisia wanawake wengi japo sio wote hawataki kabisa kusikia kitu inaitwa ndom. Katika mishe zangu zote ni mwanamke mmoja tu ambae aliwahi kukomaa ile serious kabisa kwamba bila ndom hatoi mzigo! Wengi wala hua hawaiulizii na ikitokea akaikumbuka utasikia tu "una Condom?".... ukijibu "Sina"... utasikia "ohooo.. Shauri yako.. hujui kuna magonjwa..?" Hapo kamaliza sanasana aongezee "pls usikojoe ndani" mchezo umeisha.
Kwasababu gani mkuu unasema wanawake wanapenda kupima?Wanawake wanapenda kupima
Umejaribu kuwaomba mpime??
Mie pia sipend ndomMwanzo nilikuwa najua sisi wanaume tunawalazimisha wanawake kuwaingilia bila condom lakini nimekuja kujua wenyewe hawapendi sex na condom.mtu mmejuana leoleo na bado haogopi anataka upige kavukavu kweli kwa Maisha ya Sasa unamuamini mTU na humjui eti kwa kujidanganya kwamba ladha itapungua.katika wanawake kumi Basi utakuta wawili tu wanataka uvae kondom labda na Malaya wanaojiuza
We mtoa umepuyanga huu uzi ni mzuri kama ungetoa na ka mfano ..sasa maelezo matupu kama gazeti la sani bwana ... Binafsi nakuun mkono kwa asilimiaMwanzo nilikuwa najua sisi wanaume tunawalazimisha wanawake kuwaingilia bila condom lakini nimekuja kujua wenyewe hawapendi sex na condom.mtu mmejuana leoleo na bado haogopi anataka upige kavukavu kweli kwa Maisha ya Sasa unamuamini mTU na humjui eti kwa kujidanganya kwamba ladha itapungua.katika wanawake kumi Basi utakuta wawili tu wanataka uvae kondom labda na Malaya wanaojiuza
Umesema kweli. Kuna binti niliwahi kuhusiana naye enzi za ujana. Basi siku ya mchezo nikaandaa zangu pakiti moja. Bahati mbya zikaisha wakati ndio kwanza tunaanza. Nikaamua kwenda peku aisee dogo aliniambia siku nyingine nisirudie kabisa kuvaa maana kavu ni nzuri eti kuna kajotoWanawake na condom ni kama wanajilazimisha tu.
Kavu kavu wanaona ndio sahihi...
Wanaogopa mimba kuliko magonjwa