Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,224
- 16,905
hapo ulipo agiza bia halafu utalipia mwenyewelinajiachia kama linaogelea sukumia kulee
hapo ulipo agiza bia halafu utalipia mwenyewelinajiachia kama linaogelea sukumia kulee
wanauzi hawa viumbe shoga yangu mimi sitaki kutumika mimi nalipa bill zangu mwenyewe hapaYeah nipo siku hizi unanifrahisha sana nimecheka ad nimepaliwa
kwani wanawake wa ajabu wapo wapi ? kila mtu ni wa kawaidaWanawake wanavyopandisha thamani humu utadhani ni wazuri!!, JF kumejaa vyanamke vikongwe vyenye avatar zinazovutia ila ni wa kawaida sana sana
hata kama umelipia hunigeuzi geuzi kama askari kwenye gwaride nalala pozi nalotaka na kwa muda ninaotaka hutaki unaacha
Mhhh leo naona umeamua Miss Natafuta. Unamtupilia mbali akaogelee sakafuni Hahaaaaaaalinajiachia kama linaogelea sukumia kulee
Wewe umenishinda tabia nakuambiawanauzi hawa viumbe shoga yangu mimi sitaki kutumika mimi nalipa bill zangu mwenyewe hapa
Kuna wa kawaida kama wewe then kuna wakali ambao hawapo humukwani wanawake wa ajabu wapo wapi ? kila mtu ni wa kawaida
halafu ukiona mwanaume anakashfa wanawake ooh sijui ni wabaya oogh blah blah yaani huyo jua ana mapungufu sana hata mwanamke alie nae ni shida pole sana .Wanawake wanavyojipandisha thamani humu utadhani ni wazuri!!, JF kumejaa vyanamke vikongwe vyenye avatar zinazovutia ila ni wa kawaida sana
la muhimu ni kuwa wa kawaida ulitaka niwe na pembe?Kuna wa kawaida kama wewe then kuna wakali ambao hawapo humu
Mpunga kila mtu anayo. Tunatoa favor tu! MmfyuuuuHahahaaaa..Anapoteza mzuka wote. Siku nyingine akikuomba shoo utaenda? Lets assume kakuahidi mpunga wa kutosha.
Hizo ni hisia zako tu, mi sina mapungufu ila nimetoa maoni ambayo yamekugusahalafu ukiona mwanaume anakashfa wanawake ooh sijui ni wabaya oogh blah blah yaani huyo jua ana mapungufu sana hata mwanamke alie nae ni shida pole sana .
Umekumbana nao?Wanawake wanavyojipandisha thamani humu utadhani ni wazuri!!, JF kumejaa vyanamke vikongwe vyenye avatar zinazovutia ila ni wa kawaida sana
Anataka uwe mwanamke wa Viwanda ha aha aala muhimu ni kuwa wa kawaida ulitaka niwe na pembe?
ila la muhimu tuache zinaaa my dear hakuna hata faida ujue wanaume hata ukatike kama feni hawana shukrani eti .bora tutulize papuchi hata zikiota kutu poa tuWewe umenishinda tabia nakuambia
ile kitu inachakaza papuchi sana siwezi kukubali upuuzi kama ule kwa kweli
Ndio wamejaa teleUmekumbana nao?
mimi vyote sipendi isipokuwa namba tano unipande lisaa unanilisha wewe? dkk mbili tena unikome unigeuzegeuze me mkeo?