Wanawake hawapendi haya muwapo faragha

Wanawake hawapendi haya muwapo faragha

Nasubiri kuona Barbra atasemaje kwny haya


[emoji6]
 
Unaongea ukiwa na experince mpaka natatizika na jinsia yako mkuu
 
ile kitu inachakaza papuchi sana siwezi kukubali upuuzi kama ule kwa kweli
Nakupinga itachakaa vipi wakati pampuchi imetengenezwa kwa elastic material kiasi kwamba elasticity ya muscles zake ni to infirnity? Pwapwwaaaaa
 
mimi vyote sipendi isipokuwa namba tano unipande lisaa unanilisha wewe? dkk mbili tena unikome unigeuzegeuze me mkeo?
Miss natafuta umenifanya nicheke sana, huyo utakayempata inaonekana utampa masharti kama ya mganga wa kienyeji
 
mimi vyote sipendi isipokuwa namba tano unipande lisaa unanilisha wewe? dkk mbili tena unikome unigeuzegeuze me mkeo?
Unakumbuka kuna post ulisema hautaki wanaume now watafuta mdori... Kumbe miss bado upo... Aiseee vizur sanah
 
Kinachofanya wanaume wengi kutojali kuridhika kwa mwanamke wakati wa tendo siku hiz ni kutokana na tabia zao za kutaka/ kupenda kuhongwa, sasa kama ME katoa hela unadhan atakuwa na muda wa kumburudisha KE au ataangalia aridhike yy tu?, tena atamgeuzageuza atakavyo maana kalipia
 
1.Kumrukia na kuingiza dushe kabla hajalainika na mzuka haujapanda.
2.Kumuuliza baby umemaliza? Kwani mkeo/demu wako akifika kileleni hujui?
3.Kutemea mate uke. Hii hawapendi kabisa,kama umeshindwa kumuandaa bora uache tu.
4.Kumlalia kama umelalia godoro. Kwenye ile style ya kifo cha mende wanaume wengine hujiachia mwili mzima wapenzi wao wanashindwa kupumua.
5.Kijogoo. Unakuta mwananke ndo utamu umezidi jamaa linasema bby nimemaliza hata dakika 2 hazijafika. Unamuacha mtoto wa wa2 na stress tu. Wanadada wanapenda shoo ya kuanzia 30 mnts dushe likiwa ndani. Ukichanganya na maandalizi ni kama 1hr.
6.Kukaa kimya wakati wa tendo. Mwanamke nae anapenda kusikia miguno wakati wa tendo sasa wanaume wengine ni ukauzu mwanzo mwisho. Angalau zungumza maneno matamu huku umetabasamu sio kununa tu.
7.Kutobadili style. Wengine style aliyoanza nayo ni mpaka amalize. Waha viumbe wanapenda kugeuzwageuzwa.
Dah! Basi inakua nikama ajira ya kudumu. Lol! Sifanyi huu ujinga.
 
Iyo #4 mwanamke pin kama mimi mwanaume kilo 90 anakupumulia kifuani uku anahema na kibamia chake ata awezi gusa ukingo! Tumbo kubwaa....halufu mdomoni...mfyuuuuu....
Duhhh,,, kaazi kwelikweli,,,
 
Back
Top Bottom