Wanawake hawanipendi

Kukataliwa mbona kawaida tu. Sio kila mdada lazima umpate
 
Sifa za mtu mshamba ni zipi niweze kufanya analysis
Mshamba ni yule aliyepata kazi kupitia shemeji yake. Mara baada ya kuanza kazi tu na ki mshahara cha 1 m.. Kenda kukopa gari isiyomuingizia chochote zaidi ya kumnyonya mafuta, mara kaenda kupanga upande mzima kwa tsh laki tatu kwa mwezi halafu anase
 
mkuuuu polee sana unatatizo la kisaikolojia na mimi ndo nimesomea taaluma,hiyo ughaibuni krb in box
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…