Wanawake hawaniamini

Wanawake hawaniamini

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hili nalo naomba linipite tu.
 
Kwa wale walotoa ushauri Ahsanten Sana kwa kuona userious wa thread...!!kwa mlobeza kwa njia moja au nyingne Ahsanteni Pia!!..

Never Disturb Your Enemy When he is making a mistake
 
Yaan kumaliza form six juz umeamua kutuwekea pic ya kwnza jf!na ss kaka zako ambao hatujui vyuma vitaachia lin unataka tupost nn,
 
Yaan kumaliza form six juz umeamua kutuwekea pic ya kwnza jf!na ss kaka zako ambao hatujui vyuma vitaachia lin unataka tupost nn,
Kwanza huyu Anatakiwa aende kambini kwa mujibu wa sheria, anyolewe icho kiduku
 
Tehteh hiii ndio asara ya dume kushabikia kina zarri ona sasa mwanaume wa dar anaweka miguu kama zarina.
 
Katika harakati za kutokea baadh ya wanawake kuna changamoto kubwa ambayo hua nakutana nayo hasa nnapotongoza mwanamke yoyte nlobahatika kuongea nao

Mimi n mfanyabiashara na katika biashara yangu interaction kubwa nnayopata n ya wanawake kuliko wanaume....na nmejitahid saaana kuweka mahusiano hayo kibiashara tu...na si vingnevyo maana najua kitakchotokea

Changamoto niliyonayo n kuwa kila nnapotongoza mwanamke wengi hawaamini kama sina mpenz.....na hii sio kwa wanaonijua bali hata kwa wasionijua kimazingira

Kila nimwambiaye sina mtu haamini...!!nini tatzo??
1.Naonekana kitombi saana??
2.interaction yangu na girls kwenye biashara yngu ndo hua inaniponza??

Naamni hapa nitapata kufunguliwa ufaham kidogo...!

KaribuniView attachment 1105813View attachment 1105814View attachment 1105815
Upo kama mwanamke flan ivi mkuu
 
Kwa hiyo hao kwenye picha ndo wanawake unaowatongoza?
 
Kuna watu mna roho ngumu,yaan umeamua kujilipua na picha umeweka kabsa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom