BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 921
- 2,244
Katika harakati za kutokea baadh ya wanawake kuna changamoto kubwa ambayo hua nakutana nayo hasa nnapotongoza mwanamke yoyte nlobahatika kuongea nao
Mimi n mfanyabiashara na katika biashara yangu interaction kubwa nnayopata n ya wanawake kuliko wanaume....na nmejitahid saaana kuweka mahusiano hayo kibiashara tu...na si vingnevyo maana najua kitakchotokea
Changamoto niliyonayo n kuwa kila nnapotongoza mwanamke wengi hawaamini kama sina mpenz.....na hii sio kwa wanaonijua bali hata kwa wasionijua kimazingira
Kila nimwambiaye sina mtu haamini...!!nini tatzo??
1.Naonekana kitombi saana??
2.interaction yangu na girls kwenye biashara yngu ndo hua inaniponza??
Naamni hapa nitapata kufunguliwa ufaham kidogo...!
Karibuni
Mimi n mfanyabiashara na katika biashara yangu interaction kubwa nnayopata n ya wanawake kuliko wanaume....na nmejitahid saaana kuweka mahusiano hayo kibiashara tu...na si vingnevyo maana najua kitakchotokea
Changamoto niliyonayo n kuwa kila nnapotongoza mwanamke wengi hawaamini kama sina mpenz.....na hii sio kwa wanaonijua bali hata kwa wasionijua kimazingira
Kila nimwambiaye sina mtu haamini...!!nini tatzo??
1.Naonekana kitombi saana??
2.interaction yangu na girls kwenye biashara yngu ndo hua inaniponza??
Naamni hapa nitapata kufunguliwa ufaham kidogo...!
Karibuni