HahahaIla hao wa chini wamevaa hivyo ili tu kupendezesha jeshi.
Hivi na hayo magauni wanaweza wakapigana na nani?
Kwani wanawake wetu walishakwenda kupigana? Ni viburudisho tuIla hao wa chini wamevaa hivyo ili tu kupendezesha jeshi.
Hivi na hayo magauni wanaweza wakapigana na nani?
Jaribu uone...waulize watanzania walioenda china expo miaka michache iliyopita walikuwa wanapokelewa na wadada warembo sana kuanzia airport wakuwa wamevaa magauni marefu lakini yenye mipasuo mirefu basi kuna kuna baadhi ya watz kama kawaida wakafikiri hao ni wanawake tu kama wabongo wamechukuliwa mitaani kupokea wageni kumbe wale wote ni kitengo maalum cha huko china kuhusu mambo ya usalama na ukifanya mchezo unawezo ukavuja damu nusu sekunde tu baada ya kuuliza na kupewa maonyo na wenyeji wa huko china.Ila hao wa chini wamevaa hivyo ili tu kupendezesha jeshi.
Hivi na hayo magauni wanaweza wakapigana na nani?
Ila hao wa chini wamevaa hivyo ili tu kupendezesha jeshi.
Hivi na hayo magauni wanaweza wakapigana na nani?
chai......Jaribu uone...waulize watanzania walioenda china expo miaka michache iliyopita walikuwa wanapokelewa na wadada warembo sana kuanzia airport wakuwa wamevaa magauni marefu lakini yenye mipasuo mirefu basi kuna kuna baadhi ya watz kama kawaida wakafikiri hao ni wanawake tu kama wabongo wamechukuliwa mitaani kupokea wageni kumbe wale wote ni kitengo maalum cha huko china kuhusu mambo ya usalama na ukifanya mchezo unawezo ukavuja damu nusu sekunde tu baada ya kuuliza na kupewa maonyo na wenyeji wa huko china.
Zilikuwa ni Kiki za kishamba tu!...je ni kweli kwa muda huo walijifunza "uzalendo" na mpaka sasa waheshimiwa wote waliopitia huko ni wazalendo?Ester Bulaya na Halima Mdee hakuna kutambua hapo kazi kazi tu hapo
Sheria za inchi yao halafu hao ni hatariiiii sanaIla hao wa chini wamevaa hivyo ili tu kupendezesha jeshi.
Hivi na hayo magauni wanaweza wakapigana na nani?
Sio kiburudisho tu mnatuchafuaKwani wanawake wetu walishakwenda kupigana? Ni viburudisho tu
Kuna MTU humu nimemjibu kama wewe.hawajui kitu waache waaendeleee kudharauJaribu uone...waulize watanzania walioenda china expo miaka michache iliyopita walikuwa wanapokelewa na wadada warembo sana kuanzia airport wakuwa wamevaa magauni marefu lakini yenye mipasuo mirefu basi kuna kuna baadhi ya watz kama kawaida wakafikiri hao ni wanawake tu kama wabongo wamechukuliwa mitaani kupokea wageni kumbe wale wote ni kitengo maalum cha huko china kuhusu mambo ya usalama na ukifanya mchezo unawezo ukavuja damu nusu sekunde tu baada ya kuuliza na kupewa maonyo na wenyeji wa huko china.
chai......
Tunawachafua vipi,Sio kiburudisho tu mnatuchafua
Hahahahaha dunia hii INA mamboIla hao wa chini wamevaa hivyo ili tu kupendezesha jeshi.
Hivi na hayo magauni wanaweza wakapigana na nani?