snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,710
- 23,644
masuala ya jando yarudishwe haraka
hii ni hatari sana
vijana wame change roles
the hunter wamekuwa 'the hunted' tena huku wanakimbia kimbia kwa woga
yani kwa kweli kazi ipo,hivi kweli kijana aliye chuo kikuu anaweza akawa hivi kweli,kuna siku madame x alisema kizazi cha wanaume vidume kimepotea watu wakamshambulia kweli madame wa watu lakini na mi naanza kuhisi yuko sawa yailahi!nakuunga mkono miguu na masikio yote jando na unyago virudi haraka sana,sasa huyu ndo akimaliza chuo tu kafanya kazi mezi kadhaa anatangaza ndoa,bado tutawalaumu mabinti kweli wanavozidi kushindwa kuplay role zao kwenye ndoa?ah!