The Icebreaker JF-Expert Member Feb 11, 2018 18,158 51,086 Sep 14, 2021 #6 Inapendeza kuona wakitafuta maisha kwa nguvu zao na akili zao badala ya kua tegemezi.
Superbug JF-Expert Member Jan 31, 2018 12,417 30,927 Sep 14, 2021 #7 Uzi mzuri hebu tuletee na wale wakina mama kimbo
dem boy JF-Expert Member Nov 4, 2016 5,849 14,511 Sep 14, 2021 Thread starter #9 Kalulunga19 said: we ni yupi hapo....... Click to expand... Una bahati mbaya...
The Knowledge Seeker JF-Expert Member Apr 13, 2019 2,997 4,167 Sep 14, 2021 #12 Tuna said: View attachment 1937849 Click to expand... Kumbe mkiwezeshwa mnaweza
dem boy JF-Expert Member Nov 4, 2016 5,849 14,511 Sep 14, 2021 Thread starter #14 mrangi said: Tuweke na wadangaji Ova Click to expand... Wanawake wa shoka na struggle zao halali wadangaji watusamehe..
mrangi said: Tuweke na wadangaji Ova Click to expand... Wanawake wa shoka na struggle zao halali wadangaji watusamehe..
mrangi JF-Expert Member Feb 19, 2014 80,835 106,041 Sep 14, 2021 #15 dem boy said: Wanawake wa shoka na struggle zao halali wadangaji watusamehe.. Click to expand... Hahaha sawa sawa Nashanga bongo mdangaji anakuwa eti malkia Wa shoka Ova
dem boy said: Wanawake wa shoka na struggle zao halali wadangaji watusamehe.. Click to expand... Hahaha sawa sawa Nashanga bongo mdangaji anakuwa eti malkia Wa shoka Ova
dem boy JF-Expert Member Nov 4, 2016 5,849 14,511 Sep 14, 2021 Thread starter #16 mrangi said: Hahaha sawa sawa Nashanga bongo mdangaji anakuwa eti malkia Wa shoka Ova Click to expand... Hii nchi pasua kichwa
mrangi said: Hahaha sawa sawa Nashanga bongo mdangaji anakuwa eti malkia Wa shoka Ova Click to expand... Hii nchi pasua kichwa
Shin Lim JF-Expert Member Mar 27, 2012 7,004 12,478 Sep 14, 2021 #17 Kuna dada mmoja nadhani hajafikisha miaka 27 ni dereva wa basi NJOMBE - LUDEWA na ukizingatia barabara ni ya vumbi zaidi ya nusu ya safari. Nilipandia Mlangali hadi Lusitu yeye akiwa kama dereva na konda wake mmoja ni wa kike mwingine wa kiume. Yaani huduma safi kabisa!
Kuna dada mmoja nadhani hajafikisha miaka 27 ni dereva wa basi NJOMBE - LUDEWA na ukizingatia barabara ni ya vumbi zaidi ya nusu ya safari. Nilipandia Mlangali hadi Lusitu yeye akiwa kama dereva na konda wake mmoja ni wa kike mwingine wa kiume. Yaani huduma safi kabisa!
HARUFU Platinum Member Jan 21, 2014 31,552 48,148 Sep 15, 2021 #18 Huwa napenda sana nikiona Walimbwende wakifanya kazi za Shurba
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,632 697,796 Sep 15, 2021 #20 Wolopa yuko Dubai katupia akipanda chopa