God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,062
- Thread starter
-
- #21
Ni kweli mkuu Mungu ndie shujaa bwana akili za kibinadamu tupa kule. Sikiliza Mungu wako anakuonya nini ufaidi mema ya nchi.Mke mwema atoka kwa bwana....haijalishi Ni nes,mwanasiasa, au rubani.
Mlengwa kivipi mkuu?mwalimu hapo ndo mlengwa
Lazima upate ugumu kuchukua maamuzi hapa maana ukweli mchungu. Na mkeo yupo kwenye hayo makundi hapo.Mtoa mada....wewe ni mchokozi ......sasa tuoe maza hausi? Aliwazalo mjinga ndilo humkuta ..
Ndugu ukweli mchungu. Hata ujiamini vipi siku yakikufika ndo utaamini ninayosema hapa.Walimu ni kimbilio la wasio jiamini.
Mara chache maana semina zenyewe ni za kuhesabika.Hujahudhuria semina za walimu wewe,tuulize sisi walimu tunajuana aisee
HUJIULIZAGE KWA NINI MWANAMKE NA PESA ZAKE HAOLEWI?? NANI ANATAKA PRESHA??Kwa mawazo hayo sasa mtaoa kweeli?? Na akina sie tutaolewa kweeli??? Ngachokaa
Mkuu sasa mpaka hapo si huyo mwenzi wako atakuwa mama ama baba wa nyumbani tu. Kama ni mwanamke ukumbuke huwa anaenda sokoni piaWasanii (Mf Wanamuziki, waigizaji, dancer n.k)
Wanasiasa (Vikao, safari za nje na ndani ya nchi hapa lazima utamu utoke tuu).
Wafanya biashara za kusafiri hapa na pale.
Madaktari/Manesi (Wao hutumia muda mwingi kuhudumia wagonjwa na semina huko lazima wakung'utwe tuu).
Msanii (Huyu atakutana na kila aina ya kiumbe akiwazacho).
Mwanachuo au Lecturer wa chuo chochote (Huku ataona kila aina ya kiumbe akiwazacho na kikifika kwenye himaya yake lazima akinase tuu)
Wanajeshi (Kuhama hama lazima atabadilisha tuuu)
Bar maids (Huku atapata kishawishi tuu pale atakapoona watu wanatumbua raha)
Rubani, dereva (Hakuna asiejua kama kusafiri ni raha)
Wahudumu (Hakuna asiejua kuwa huduma nzuri huleta urafiki, mtu akikupa huduma nzuri mfano chakula kwa wale mama ntilie lazima urudi tena hapo urafiki huanza na urafiki kati ya mwanamke na mwanaume ni NGONO, wahududu wa watalii, vituo vya ndege, benk n.k huko kuna madudu mengu)
USHAURI WANGU TAFUTA MWANAMKE AMBAE UNAJUA HAKUTANI NA WATU WENGI MAENEO YA KAZINI AU ANAFAHAMIANA NA WATU WENGI. TAFUTA MWANAMKE AMBAE HAFANYI KAZI ZA KUTISHA KAMA MADOKTA AU MANESI AMBAO USIKU, MCHANA N.K NI MIDA YAO YA KAZI.
Tafuta mwanamke ambae unajua mda wote utakua nae hata maeneo ya kazi yawe kaibu. Umbali ni chanzo cha usaliti, hakika nawaambieni hakuna wapenzi wanaokaa mbali wasisalitiane huo ni uongo mkubwa!
Hakikisha kuna mawasiliano mazuri, amani na hamu ya tendo kati yenu. Tofauti na hapo kuna jambo.
Raha ya mwanamke wa karibu hata akikusaliti utajua tuu maana dunia haina siri, lazima taarifa utazipata tuu hata afanye kwa siri namna gani lazima watu wa karibu watafahamu.
Umbali na kutokua na muda wa kutosha ni sababu kubwa ya wapenzi kusalitiana.
Pia nature ya mtu hata mkae 0 distsnce kama ni mtu wa kutoa atatoa tuu.
Sio hisia hapa ni kwa mujibu wa tafiti zangu nilizofanya na ninazoendelea kufanya! upo ndugu? najua mkeo yupo kwenye hilo kundi hapo juu.kwani wewe ulishawahi kuwa nao wote hao hata kujua tabia zao? au hisia tu
du haya bwana, lkn uko sahihi mkuuSio hisia hapa ni kwa mujibu wa tafiti zangu nilizofanya na ninazoendelea kufanya! upo ndugu? najua mkeo yupo kwenye hilo kundi hapo juu.
YesWalimu bado ni kimbilio la wengi wanaohitaji familia na mke bora!
NoWalimu ni kimbilio la wasio jiamini.
Walimu bado ni kimbilio la wengi wanaohitaji familia na mke bora!
Walimu unaweza katika mwaka hawajapata safari
Nami nilikua na wazo kama lako lakini awe mwalimu wa vidudu, shule ya msingi na mwisho sekondari. asiwe lecturee
Mwalimu ndio material salama.
Hizo material nyingine si salama japo si zote
Yes.una akili sana weweFamilia bora siyo lazima wenzi wote wawe na kazi za kuajiriwa kama hizo ulizotaja hapo juu. Mwanamme anaweza oa binti asiye na kazi ila akamsaidia kujiajiri kwa manufaa ya familia.
Duh! HatariWasanii (Mf Wanamuziki, waigizaji, dancer n.k)
Wanasiasa (Vikao, safari za nje na ndani ya nchi hapa lazima utamu utoke tuu).
Wafanya biashara za kusafiri hapa na pale.
Madaktari/Manesi (Wao hutumia muda mwingi kuhudumia wagonjwa na semina huko lazima wakung'utwe tuu).
Msanii (Huyu atakutana na kila aina ya kiumbe akiwazacho).
Mwanachuo au Lecturer wa chuo chochote (Huku ataona kila aina ya kiumbe akiwazacho na kikifika kwenye himaya yake lazima akinase tuu)
Wanajeshi (Kuhama hama lazima atabadilisha tuuu)
Bar maids (Huku atapata kishawishi tuu pale atakapoona watu wanatumbua raha)
Rubani, dereva (Hakuna asiejua kama kusafiri ni raha)
Wahudumu (Hakuna asiejua kuwa huduma nzuri huleta urafiki, mtu akikupa huduma nzuri mfano chakula kwa wale mama ntilie lazima urudi tena hapo urafiki huanza na urafiki kati ya mwanamke na mwanaume ni NGONO, wahududu wa watalii, vituo vya ndege, benk n.k huko kuna madudu mengu)
USHAURI WANGU TAFUTA MWANAMKE AMBAE UNAJUA HAKUTANI NA WATU WENGI MAENEO YA KAZINI AU ANAFAHAMIANA NA WATU WENGI. TAFUTA MWANAMKE AMBAE HAFANYI KAZI ZA KUTISHA KAMA MADOKTA AU MANESI AMBAO USIKU, MCHANA N.K NI MIDA YAO YA KAZI.
Tafuta mwanamke ambae unajua mda wote utakua nae hata maeneo ya kazi yawe kaibu. Umbali ni chanzo cha usaliti, hakika nawaambieni hakuna wapenzi wanaokaa mbali wasisalitiane huo ni uongo mkubwa!
Hakikisha kuna mawasiliano mazuri, amani na hamu ya tendo kati yenu. Tofauti na hapo kuna jambo.
Raha ya mwanamke wa karibu hata akikusaliti utajua tuu maana dunia haina siri, lazima taarifa utazipata tuu hata afanye kwa siri namna gani lazima watu wa karibu watafahamu.
Umbali na kutokua na muda wa kutosha ni sababu kubwa ya wapenzi kusalitiana.
Pia nature ya mtu hata mkae 0 distsnce kama ni mtu wa kutoa atatoa tuu.