Kwa mapenzi Elimu haimati kabisa. wasomi wengi kitandani ni failures hiyo nimetibitisha mara nyingi hata mahausi geli wamepindua ndoa za wasomi wenye PHD. Ila kwa kuoa Mke ni busara akawa asipishane sana kielimu na mumewe sababu hapa kuna mahusiano zaidi ya kitandani i.e. nje ya uwanja.