Juzi mwanamke mmoja mjini Moshi ameshindwa kujitetea mbele ya baraza la wazee wa mila kwa kumsababisha mumewe kuvinjika mkono,
Kisa mwanamke alikua anapigwa na mume chumbani kwa bahati mbaya mume karusha teke mwanamke akakwepa,jamaa akateleza na kuvunjika mkono.
MASHTAKA yanayomkabili mke kwa nini alikwepa teke na kumsababishia mumewe kuteleza na kuvunja mkono?