Wanawake bwana

Inaelekea kuna mahali mtu huko kwenu ulimi wake uliwahi kuteleza kama huu wako hapa na yeye akasikia kuwa katoka katika familia masikini..sasa anafanya malipizi kwa vile kaka yako sasa hana uwezo! Kulikuwa na haja gani ya kutumia neno hilo? Huwa zinaitwa familia zisizo na uwezo.

Swadakta!

Waswahili wanasema mwanzo wa ugomvi ni neno moja, ina maana huyo mama alikuwa anaishi na kinyongo sasa amepata mahali pa ku apply kisasi chake.
 
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu !!! Hata baadhi yetu wanaume huwa tuna watreat wakina mama vibaya wakati mwingine..! Siwezi kuingilia sana ktk issue hii lakini lazima Bro ajiulize ni kwanini mamie kabadirika..!! Huenda na yeye alimfanyia vituko kipindi hicho..! Revenge of the satan
 
kipanga mweupe umegusa jambo ambalo rafiki yangu wa karibu analipitia. mama ana kazi nzuri, mwanaume kazi ndo hivyo tena mambo hayajakaa sawa kiajira. Mume hapewi ehshima yote anayostahili hadi anatamani kutoka nje ya ndo kwani let say akirudi toka kutafuta kazi au michongo mingine hausgael ndiye atoe huduma zote (sio sex) na mama yuko ameshika remote controll yuko busy na Tv. No busu no sex kisa mama hajisikii ila nadhani sababu jamaa mshiko wa outing, na bill zingine haupo. Wanawake je hii ni sawa kwamba mume kazi ikiota nyasi then hata heshima yote inaondolewa hadi kipato kirudi....hadi tendo la ndoa ambalo lingekuwa kiburudisho chakumliwaza jamaa kinafutwa.....tumsaidie huyu jamaa kimawazo hasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom