Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,119
- 173,952
Wanawake huwa mnaumia kwa upumbavu wenu wenyewe, you need true love but you engage in dating with fake people kisa tu ni handsome au ana pesa na gari while thats every cheap girl's dream. Wanaume wakweli mnawakataa, mnataka wale wanaowahadaa na pesa na magari. Mi huwa naamini real men with true love wapo wengi ila you are too blinded to see.
Link na mwanaume anaeanza kujijenga umsome vyema as long as ana adabu na anakuthamini mpende taratibu huku unasoma mapungufu yake, ila hakikisha upendo wake una exceed mapungufu plus be independent itakupunguzia sana headache as well as pressures kwenye mahusiano yenu. Create your own base kwa mwanaume wako, trust me you will be always his number 1. Hakuna mwanamke anakuwaga akilini kwa kidume kama yule ambaye huonesha upendo, msaada na kututhamini pindi mkiwa pamoja kwenye process ya kujijenga.
Hakuna wanawake wanaoinjoy mapenzi kama wale walio independent. Kuwa kwenye mahusiano kwa sababu umempenda mtu na sio kwa sababu ya status yake au pesa zake ili ujihakikishie mitoko na shopping, thats every cheap girls dream. Make yourself expensive kwa kujimudu katika mambo hayo, just be engaged kwenye mapenzi for genuine kind of love sio kwa njaa au tamaa na show offs. Also be creative and focused na maisha, utaona jinsi wanaume wanavyoparangana kupropose kwako na kutaka kuku keep for lifetime. Acheni uswahili jamani kuweni kama madem wa kizungu!
Sasa we hapo danga na ku cheat kisirisiri kisa jamaa hana hela ya kukutoa out halafu siku akizipata na kukumwaga uje ulalamike kipuuzi hapa maana wengi ndio tabia yenu hio. Ukimfanyia hivyo mwanaume hatosema kitu atavunga ila zikikaa vizuri hamna rangi utaacha kuiona.
Link na mwanaume anaeanza kujijenga umsome vyema as long as ana adabu na anakuthamini mpende taratibu huku unasoma mapungufu yake, ila hakikisha upendo wake una exceed mapungufu plus be independent itakupunguzia sana headache as well as pressures kwenye mahusiano yenu. Create your own base kwa mwanaume wako, trust me you will be always his number 1. Hakuna mwanamke anakuwaga akilini kwa kidume kama yule ambaye huonesha upendo, msaada na kututhamini pindi mkiwa pamoja kwenye process ya kujijenga.
Hakuna wanawake wanaoinjoy mapenzi kama wale walio independent. Kuwa kwenye mahusiano kwa sababu umempenda mtu na sio kwa sababu ya status yake au pesa zake ili ujihakikishie mitoko na shopping, thats every cheap girls dream. Make yourself expensive kwa kujimudu katika mambo hayo, just be engaged kwenye mapenzi for genuine kind of love sio kwa njaa au tamaa na show offs. Also be creative and focused na maisha, utaona jinsi wanaume wanavyoparangana kupropose kwako na kutaka kuku keep for lifetime. Acheni uswahili jamani kuweni kama madem wa kizungu!
Sasa we hapo danga na ku cheat kisirisiri kisa jamaa hana hela ya kukutoa out halafu siku akizipata na kukumwaga uje ulalamike kipuuzi hapa maana wengi ndio tabia yenu hio. Ukimfanyia hivyo mwanaume hatosema kitu atavunga ila zikikaa vizuri hamna rangi utaacha kuiona.