The ghost writer
Senior Member
- Apr 5, 2023
- 179
- 263
Yeah! Hakuna binadamu asiye na mapungufu isipokuwa Mungu pekee. Hivo basi katika kipindi chetu cha maisha ya kwenye mahusiano tunakutana na wapenzi wanaotupenda ila kuna baadhi ya tabia zao hutufanya tushindwe kuwavumilia na hatimaye kuvunja mahusiano yetu. Tunasahau kuwa hakuna aliyemkamilifu isipokuwa Mungu pekee.
Ni kweli wanawake hawatulii kwenye ndoa zetu isitoshe wamekuwa wenye vitabia vya tamaa ya kumpenda kila mwanaume mwenye pesa, wale wenzangu na mie tusiokuwa na hela tunadharauliwa. Hivo basi from now nataka wanaume wote mtambue kuwa nowadays fake ni wengi na kumpata mwanamke aliyekamilika siku hizi ni shughuli.
Hivo kama umempenda pia mpende na mapungufu yake, ikiwezekana mlinganie muhusie abadilike huyo ndio wako umeshaandikiwa utakuwa nae mpaka kufa kwako wala usihangaike kutafuta mwanamke mwingine. No one in this world is pure and perfect. If you avoid people for their mistakes you will be alone in this world so judge less and love more.
#The_ghost_with_good_spirit.
#Get_me_on_the_touch.
Ni kweli wanawake hawatulii kwenye ndoa zetu isitoshe wamekuwa wenye vitabia vya tamaa ya kumpenda kila mwanaume mwenye pesa, wale wenzangu na mie tusiokuwa na hela tunadharauliwa. Hivo basi from now nataka wanaume wote mtambue kuwa nowadays fake ni wengi na kumpata mwanamke aliyekamilika siku hizi ni shughuli.
Hivo kama umempenda pia mpende na mapungufu yake, ikiwezekana mlinganie muhusie abadilike huyo ndio wako umeshaandikiwa utakuwa nae mpaka kufa kwako wala usihangaike kutafuta mwanamke mwingine. No one in this world is pure and perfect. If you avoid people for their mistakes you will be alone in this world so judge less and love more.
#The_ghost_with_good_spirit.
#Get_me_on_the_touch.