Lavan Island
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 2,378
- 2,054
Wana maswali ya ki barmaid sana,
Mmmh ...hahahahaaa,mwaka gani huo?Mwisho wa siku anakwambia
''NIMEKUKUBALIA LAKINI SITAKI TUFANYE MAPENZI MPAKA TUOANE''
Yeye peke yake future yake imemshinda ataweza mkiwa wawiliSasa mbona Mada hainamshiko sasa ukishatongoza unataka awe bubu, si anakuliza maswali ambayo mwisho wa cku yatajenga future yenu, acheni kila cku kudiscus wanawake weken Mada zenye mshiko
mbona mnachezewa sanaNa hatutaki mchezooo
maswali ya wanawake wa zamani siku hizi anakuuliza unafanya kazi gani ukisema kazi yakuunga unga anakulima hapo hapoTangu mwaka 1980 wanawake hawajabadilisha maswali pindi wanapotongozwa.
Swali la kwanza wanauliza "HIVI WANAWAKE WOOOTE HUJAWAONA MPAKA UJE KWANGU?"
Swali la pili wanauliza "NITAAMINI VIPI KAMA UNANIPENDA?"
Swali la tatu wanauliza "KIPI HASA KIMEFANYA UNIPENDE?"
Acheni hizo nyinyi badilisheni maswali wanaume tumekalili.
![]()
Ni watoto wa kike std 6 mpaka form 2 na wasichana wa form 3 na form iv ndo anaozungumzia.Hivi.....
Hao wanawake wa hivyo bado wapo kweli..![]()
Labda unawazungumzia wasichana aiseeee.... sitaki kuamini kama hao unao wasema ni wanawake
Future mnajengajee kwa kukuulza ukuona wte ukaja kwangu...Sasa mbona Mada hainamshiko sasa ukishatongoza unataka awe bubu, si anakuliza maswali ambayo mwisho wa cku yatajenga future yenu, acheni kila cku kudiscus wanawake weken Mada zenye mshiko