Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Kweli huwa mnawapata mnaofanana naotena akikuuliza nikwambie kitu ukimjibu ndio akisema unajua kuna kitu kizuri nimekiona mjini nlivyoenda na mamdogo jana please my brother,usijaribu kuuliza kitu gani utakuja kujilaumu

