Blaza utakua na matatzo kwenye mifumo yako sio bure.Hahaha inategemea na mwanaume, kama mm binafsi najiheshimu na nina mipaka, siwezi lala na kila mwanamke anaenitaka, hata mdada akinivamia chumbani avue nguo zote Abaki uchi, kama simtaki, nitaishia kumkimbia, kuna baadhi ya wadada walinioneshaga ishara kuwa wananitaka kingono, niliijua nia yao, ila mm nilijifanya sielewi wanachomaanisha..bhasi baada ya muda, Baadhi ya wadada waliokuwa wananitaka, wanaishia kunichukia kisirisiri Dinazarde
Likewise hata kwa wanaume pia ukipenda mtu hata Sex hatudemand sana lakini kwa madem wengine ambao hatujawapenda kila weekend ni MOTOHahaha anaweza kukuanza vilevile badae ukifall na kumpenda sana anakufanya ATM pia .
Ila kiukweliii, when you are truly in love with a person hata mizinga mizinga ya ajabu humpigi .Ila sasa kule kwingine unapiga tu mizinga ili mradi muachane .
Life is too short usilielie sana kama amechomoa kias hcho Chill fanya inshu zako achana nae sio kila mwanamke atafaa kuwepo kwenye memory yako.kuna manzi ni zaidi ya week mbili sasa namuhaingaikia......ananiringia sana aisee daaahhh.......
KumbeHayo maumivu ndio tunapataga wanaume sema hamjuagi tu.
Pole mkuu,Tumia njia zingine.Me niliumia Sana
Ikapelekea Hadi kukata tamaa yakutongoza
Siyo Siri mademu wengine wanamajibu mabaya na kukatisha tamaa
Zipi sasaPole mkuu,Tumia njia zingine.
Wanaume hawakataagi k
KweliTrue. Wengi wao mpaka wanafika adi wanafika kwenye ndoa.
Mtongoze rafiki ake au mdogo wake Kama anaeKama ilivyo ada ni swala la kawaida kwa karne ya 21 watu kutongozana msela au mtoto mzuri anakufata na kukuambia anakupenda anahitaji kuwa muwe wapenzi, Pale ikitokea mtu ambae unamtaka muwe katika mapenzi kwa kua unampenda akakukataa huwa unafanyaje???
Mi huwa nazikataaaWanaume hawakataagi k
Mmmh nimekataaaMi huwa nazikataaa
Unatunginyima fursa sisi wenye aibu mkuuSiwezi jitosa tena aise.