frenderPH
JF-Expert Member
- Oct 30, 2019
- 619
- 806
Kama ilivyo ada ni swala la kawaida kwa karne ya 21 watu kutongozana msela au mtoto mzuri anakufata na kukuambia anakupenda anahitaji kuwa muwe wapenzi, Pale ikitokea mtu ambae unamtaka muwe katika mapenzi kwa kua unampenda akakukataa huwa unafanyaje???