Habari Wadau,
Hii mila ya wanaume kuwatongoza wamawake imepitwa na wakati.
Yaani unakuta dada anakufuata bra bra kibao, mara simu yangu inasumbua narekebishie, mara nimekufananisha mara hivi mara vile hadi mwanaume ajiongeze mmmh!
We ukiona kaka umempenda mfuate mueleze ukweli muombe namba kama unaona aibu kumwambia hapo hapo wanaume tuna mambo mengi sana.
Hii mila ya wanaume kuwatongoza wamawake imepitwa na wakati.
Yaani unakuta dada anakufuata bra bra kibao, mara simu yangu inasumbua narekebishie, mara nimekufananisha mara hivi mara vile hadi mwanaume ajiongeze mmmh!
We ukiona kaka umempenda mfuate mueleze ukweli muombe namba kama unaona aibu kumwambia hapo hapo wanaume tuna mambo mengi sana.