Wanawake ambao ni less attractive physically are exceptionally good in bed

Wanawake ambao ni less attractive physically are exceptionally good in bed

Thats just an exception, not the rule....

Ndio maana yake,wako warembo kibao na kitandani Maash'Allah!!!!
Na wako wa fungu la kukosa kamili,si wa sura si wa umbo na kwa bed ndio worse!!!!
 
Ndio maana yake,wako warembo kibao na kitandani Maash'Allah!!!!
Na wako wa fungu la kukosa kamili,si wa sura si wa umbo na kwa bed ndio worse!!!!

hhahaa Ennie sasa apo unanchokoza nisemeee nsiyotaka kusema
 
Last edited by a moderator:
Mmmmh, hii inategemea aisee, kuna wenginee ni wazuri hata performance inavutia, na wengine ni wabaya then hata kwa bed ni mizigo.... Ile nayo ni talent kama talent nyingine.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Mhhh wewe ushaonja wangapi hadi kukoncludi hivo?


Kisayansi, kwa uwiano sawa huwezi kupiga conclusion kama sample ni pungusu ya 384, sasa huyu kijana kama kaweweseka na hao wote, ebu ahamishie makazi yake kwenye mortuary ili karibu naye!!!
 
Acha Mungu aitwe Mungu. Hapa ndipo ninapoamini laws za compensation na conservation of attributes. Yaani, unakuta mwanamke anayesemwa mzuri hajui chochote kitandani, akijitahidi sana anakuwa average na kuwa average mara nyingi kupitia intensive training. Lakini mwanamke unayemwona halipi sana kwa appearance au physique, dah, ni raider kama Navy Seal Six Team!

Hapo ndipo ninapoamini, mtu (mwanamke) akinyimwa kitu fulani anabecompensated kwa kupewa kitu kingine na attributes zinakuwa conserved!

(Please, kwa leo naomba nisiulizwe research methodology niliyotumia).

cc: Evelyn Salt, lara 1, Babu Asprin

U must be abnormal ! kuna kipimo cha kupima kuwa huyu fundi na huyu goi goi! au unafikiri kila mwanaume anapenda mwanamke anayehangaika kunapo 6-6? Kuna wengine wanapenda mwanamke atulie wafanye kwa ustaarabu, na sio kutoana majasho kama mnakimbiza mwenge!
 
U must be abnormal ! kuna kipimo cha kupima kuwa huyu fundi na huyu goi goi! au unafikiri kila mwanaume anapenda mwanamke anayehangaika kunapo 6-6? Kuna wengine wanapenda mwanamke atulie wafanye kwa ustaarabu, na sio kutoana majasho kama mnakimbiza mwenge!

Nadhani wewe ndie abnormal aisee...a


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Kwa kujua kuwa physical appearance ni zero, anajitahidi ku compensate kwenye 6x6
 
Nadhani wewe ndie abnormal aisee...a


Sent from my iPhone using JamiiForums app
Abnormal ni yule asiye normal.The normal ones ni wale wanaopenda hizo mambo, so ukiona we hupendi ujue ni "abnormal".



Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Mwanamke awe sijuhi mzuri au mbaya ni shauri yake...mi mke wangu atakuwa bora katika wake bora
 
Back
Top Bottom