Simplicity.
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,636
- 1,664
- Thread starter
- #61
Last edited by a moderator:
Kila mwanamke ana utamu wake ati
Utasema yooote, mapenzi hayanaga fomula.
Kazi ya kukariri waachie form one
hata mi nilikuwaga nimekariri watu wafupi na dushe zao fupi
usiniulize kuhusu research yangu pia
Inategemeana ntu na ntu
Kazi ya kukariri waachie form one
hata mi nilikuwaga nimekariri watu wafupi na dushe zao fupi
usiniulize kuhusu research yangu pia
Nakuaminia...mbona wewe ni mkali alafu mziki wako ni balaa....
Kwani ashakuonaga wewe huyu mtoa mada......eti ame ku CC. Watu wengine bwana.
Huo mziki uliusikilizia station ipiiii
Una jero hapo unirushie nijiunge supa cheka?
Poa nakutumia ya mme wangu mi sitaki unisumbue kisa jero....Tuma namba.......kwikwikwi
Poa nakutumia ya mme wangu mi sitaki unisumbue kisa jero....
Kazi ya kukariri waachie form one
hata mi nilikuwaga nimekariri watu wafupi na dushe zao fupi
usiniulize kuhusu research yangu pia
Kauli kama hii inahamasisha watu waanze kuonja onja ili waone tofauti za utamu hasa ikitamkwa na mwanamke!
Basi sredi na ifungwe tumeshaconclude
Thats just an exception, not the rule....Hiyo ndio conclusion?
There is no rule without exception!!