Wanawake ambao ni less attractive physically are exceptionally good in bed

Wanawake ambao ni less attractive physically are exceptionally good in bed

Mwanamke less attractive kwako ni malkia kwa mwingine,usiyempenda wewe kuna jamaa hadi analia akimuona anapita kwa jinsi anavyompenda!

Kumbuka Ben Affleck aliwahi kumkataa Jenifa Lopez tena enzi hizo Lopez bado mile hazikuvuta na alikuwa mrembo mno lkn Affleck akasema wazi kuwa Lopez SIYO MREMBO hadi mm nikashangaa!Hakuna formula duniani inayosema mwanamke akisemwa mbaya na wewe basi ndiyo wote wanaume wakukubalie!

Hiyo wala sina shida nayo mkuu, ndio maana nimesema kipimo ni macho ya mhusika.
 
Noo bana.....haipo hivyo...mara nyingi demu mkali homoni zake huwa zipo bize tofauti kwa hao mnaowaita less attractive....ni kwa sababu ya kutongozwa mara kwa mara,ofa kutoka kwa wanaume wanaoshindana, tabia ya kuringa kwao na kujiamini kwamba kwa uzuri wao watapeta tu popote waendapo....haya yote yanawaathiri tofauti na hao wenzao.

Hivyo basi kutokana na kuwa much used physically and mentaly, huathiri sana utendaji wao kwa mambo mengine including darasani, in bed na maeneo mengine.



Kwa hiyo usifanye mambo kwa ujumla kwani mwili ni ule ule binti awe mzuri au sio mzuri.....wapo wadada warembo/wazuri wenye uwezo kwenye maeneo hayo ya darasani, in bed n.k. na wapo wasio wazuri kisura na kiutendaji darasani, in bed n.k.

Tunaangalia wingi mkuu, kuna special case kama akina Evelyn Salt ambaye yupo vizuri kwa attributes nyingi.
 
Last edited by a moderator:
Acha Mungu aitwe Mungu.
Hapa ndipo ninapoamini laws za compensation na conservation of
attributes. Yaani, unakuta mwanamke anayesemwa mzuri hajui chochote
kitandani, akijitahidi sana anakuwa average na kuwa average mara nyingi
kupitia intensive training. Lakini mwanamke unayemwona halipi sana kwa
appearance au physique, dah, ni raider kama Navy Seal Six Team!

Hapo ndipo ninapoamini, mtu (mwanamke) akinyimwa kitu fulani
anabecompensated kwa kupewa kitu kingine na attributes zinakuwa
conserved!

(Please, kwa leo naomba nisiulizwe research methodology niliyotumia).

cc: Evelyn Salt, lara
1
, Babu Asprin

Hakuna ki2 kama hicho,unamkuta mwanaume hata kukuandaa awezi yani yeye ikishasimama tu,anang'ang'ania kuingiza.Badala ya kupata raha unapata maumivu,khaa badala ya kukuonesh maujuzi yangu inabidi nisikilizie maumivu yako.Wanaume mbadilike jamani,usijijali mwenyewe 2,muandae vizuri uone raha yake,wote mtafurahia tendo
 
Last edited by a moderator:
download.jpg
 
Hakuna ki2 kama hicho,unamkuta mwanaume hata kukuandaa awezi yani yeye ikishasimama tu,anang'ang'ania kuingiza.Badala ya kupata raha unapata maumivu,khaa badala ya kukuonesh maujuzi yangu inabidi nisikilizie maumivu yako.Wanaume mbadilike jamani,usijijali mwenyewe 2,muandae vizuri uone raha yake,wote mtafurahia tendo
huyo mumeo sio mkurya?au masai? huwa wanadai "kaa vizuri nikurenge au nipe ile kitu inamesa menzake"
 
Back
Top Bottom