Kuna kama 400 wanatakiwa huko kwa Mswati...
Labda kwa wale pre-entry, kwa walioko chuoni ni ndoto!
<br />Hizi lugha zingine zinadhalilisha wadada....
Hakuna cha sealed now day acha kutuzuga wewe,watu wanazipoteza tangu wakiwa primary sembuse chuo.labda umekutana na mchina anayetumia ile sabuni inatwa femtight zipo kibao kko na maduka ya vipodoz.
Umesahau siku hizi zipo seals za kichina? Shauri yako unayedanganyika...! Mie sidanganyiki...!
Nimeshuhudia kwa macho yangu.
Karne hii bado kuna watu wana fikra finyu za kutafuta wasichana bikra! Kweli maajabu hayataishi nchi hii!
Sema tu mkuu kwamba umebahatika kufungua mlango wa binti akiwa mbichi kwa mara ya kwanza ndio maana uko very excited.
wanyaturu kwa kutafuta vi cheap populality
.Anayetaka kujua nimejuaje basi ani-PM lakini amini nawaambieni nimeshuhudia mwenyewe kwa "macho" yangu na si kuhadithiwa.
Ni kweli wapo tena wengi tu, mi mwenyewe sikuamini lakini ukweli ndo huo.
Hivyo wale wote ambao huwa wanawaghasi hawa wenzetu kwa mawazo ambayo ni kinyume na hiki nilichoshuhudia mimi, waache mara moja.
Nasisitiza wapo, wapo, wapo....., tena wengi tu. Ukiamua ku-search huwezi kosa. Cha muhimu ni kuepuka papara, kuwa na subira, nia njema, busara na nidhamu ya hali ya juu.
Note:
Nime-confirm mwenyewe kuwa sio "temporarily renewed".
unaposema kutumika unamaanisha nini?