Kwa jinsi nilivyokuona Jana kwenye uzi wangu, NAKUOGOPA[emoji3449]
Nimefarijika sana kwamba unaniogopa
Asante sana asee
Kwa jinsi nilivyokuona Jana kwenye uzi wangu, NAKUOGOPA[emoji3449]
You smart ass (kumbuka ule utani wako)...Matumizi bora kabisa ya kejeli na dhihaka...typical you !!!
Wewe utakuwa mtu wa Arusha/Moshi [emoji16][emoji16]Nimefarijika sana kwamba unaniogopa
Asante sana asee
Wewe utakuwa mtu wa Arusha/Moshi [emoji16][emoji16]
MKUU,Salaam wana jukwaa,
Nijambo zuri kama tukiwa na jamii ya watu wenye furaha na kati ya vitu vinawakosesha furaha wanawake wengi zama hizi ni kutoolewa.
Sasa katika "jitihada za kumsaka" mume kuna makosa makubwa wanzetu hawa wanayafanya. Ila kosa kubwa na linalotamalaki sana ni hili, wanawake hawa wanadhani sisi wanaume tunavutiwa na mambo wanayowavutia wao.
Yani wanawake kiasili wanavutiwa na mwanaume jasiri, mtafutaji aliefikia mafanikio kadha wa kadha. Sasa utakuta mwanamke anaposaka mwenza anajinadi ifuatavyo nanukuu:
1. Mimi umri *****
2. Naishi ******
3. Nimesoma nina degree
4. Mimi nina kazi sio tegemezi
5. Nayajua maisha ni mpambanaji
6. Nina miradi huku na kule
7. Nimejenga **** naishi kwangu
Nataka mwanaume 1...2...3
Alie interested anicheck PM
mwisho wa kunukuu.
Kama umegundua uandishi huo unajionyesha mafanikio ambayo ni jambo zuri kua nayo ila kwa mwanaume sio hasa kipaumbele katika kumpata mke.
Hata hapa jf kwenye love connect utakuta wanawake wote wanatafuta mume kwa hulka hiyo huku wakipuuza kujieleza hasa kwa criteria za kike au labda hata tusiwalaumu labda hawajui wanaume tunamtaka mwanamke wa aina gani.
Ngoja niweke kitu sawa, mwanaume anavutiwa na urembo asili wa mwanamke, utii, heshima, maadili ya kwao, unyenyekevu, usikivu, uvumilivu sio madegree yenu na sijui una nyumba Kibaha. (japo sio jambo baya ukiwa navyo)
Binafsi nimeshaoa ila ningekua sijaoa na natafuta mke, hawa wakujitambulisha kwa idadi ya madegree yao na blah blah zingine nisingepoteza muda hata kuwasalimu tu, kwanini wasijieleze kwa quality za kike sifa ya mke, kwanini wakwepe kuelezea habari ya utii, heshida, etc jibu ni kua sifa hzo yamkini hawana kwahyo wanajipaka manukato ya sifa za kimafanikio, maelimu etc
Mwanamke wa hivi hata ukitoka nae on a date mazungumzo yake sio kuhusu maadili ya kwao wala utii wake hapana mazungumzo yake atajitahidi kuongelea degree yake, na blah blah na wanajionaga wanafaa kweli kua mke haa ha haa
Nawatahadharisha au nawapa angalizo kwa mwendo huo mtawapata wanaume type ya Uchebe ila kwamwe sio high value men. Au nisiwapangie basi endeleeni hivyo hivyo yamkini wanaume mnaowataka ni kina Uchebe maana sidhani mwanamke anaejifisia nina degree nina blah blah blah yuko tayari kuishi na kubehave kama mke.
Na last thing to say, men are very smart. Wanawatumia hawa wanawake na kwenda kuoa feminine ladies its so sad hawa masculine ladies wanaendelea kua masingle mothers.
Ila big up sana kwenu wanawake wenye elimu na carrier ila mnajitambulisha kwa feminine characters (maelimu na mafanikio hayajauondoa uanamke ndani yenu) japo ni wachache SANA.
Ongezea unavaaga dela pia muhimu sana.Ni kweli
Siku nikiweka bandiko langu kule lavu konekti nitaweka sifa hivi
Najua kupika
Najua kufua
Najua kuhudumia mume
Niko na utayari wa kumuhudumia mume 24/7(house wife)
Nayajua vizuri mapenzi(ngono)
Nina heshima
Nina upendo na uaminifu
Nina hofu ya Mungu
Niko romantic
Navaaga kanga
Nikiweka hayo niliyoandika sijui zile comments za kejeli za watafutaji zitaisha?
Ongezea unavaaga dela pia muhimu sana.
Jitahidi uanze kuvaa.Dela sinaga/sijawahi kuwaga nayo
Jitahidi uanze kuvaa.
Bila kusahau utawapenda sana ndugu wa mume na kuwapakulia minyama mingi mingi.
Mashaallah sheikhSisi tulioa tunakuelewa uzuri sana.
Sitii neno la ziada hapo wala sherehe.
Ukiweka Bango unitag kabisa kaka yako nipitie cv za watu. Wenye viwanja vya urithi kariakoo watapewa vipaumbele.Nimejaliwa upendo sana,hilo jambo la kupenda ndugu sio hata la kulijadili...ni lipo yani
Dela sivai bhana
Ukiweka Bango unitag kabisa kaka yako nipitie cv za watu. Wenye viwanja vya urithi kariakoo watapewa vipaumbele.
Ukizingatia kulwa wangu ww ni 🔥🔥
Joana wangu ulimtisha kwenye uzi gani huyo mkuu🤪🤪hebu niite niuoneNimefarijika sana kwamba unaniogopa
Asante sana asee
Joana wangu ulimtisha kwenye uzi gani huyo mkuu🤪🤪hebu niite niuone
We jamaa vipi yaaani kwahiyo akiulizwa jayo maswali a atakuwa ajibu vipiSalaam wana jukwaa,
Nijambo zuri kama tukiwa na jamii ya watu wenye furaha na kati ya vitu vinawakosesha furaha wanawake wengi zama hizi ni kutoolewa.
Sasa katika "jitihada za kumsaka" mume kuna makosa makubwa wanzetu hawa wanayafanya. Ila kosa kubwa na linalotamalaki sana ni hili, wanawake hawa wanadhani sisi wanaume tunavutiwa na mambo wanayowavutia wao.
Yani wanawake kiasili wanavutiwa na mwanaume jasiri, mtafutaji aliefikia mafanikio kadha wa kadha. Sasa utakuta mwanamke anaposaka mwenza anajinadi ifuatavyo nanukuu:
1. Mimi umri *****
2. Naishi ******
3. Nimesoma nina degree
4. Mimi nina kazi sio tegemezi
5. Nayajua maisha ni mpambanaji
6. Nina miradi huku na kule
7. Nimejenga **** naishi kwangu
Nataka mwanaume 1...2...3
Alie interested anicheck PM
mwisho wa kunukuu.
Kama umegundua uandishi huo unajionyesha mafanikio ambayo ni jambo zuri kua nayo ila kwa mwanaume sio hasa kipaumbele katika kumpata mke.
Hata hapa jf kwenye love connect utakuta wanawake wote wanatafuta mume kwa hulka hiyo huku wakipuuza kujieleza hasa kwa criteria za kike au labda hata tusiwalaumu labda hawajui wanaume tunamtaka mwanamke wa aina gani.
Ngoja niweke kitu sawa, mwanaume anavutiwa na urembo asili wa mwanamke, utii, heshima, maadili ya kwao, unyenyekevu, usikivu, uvumilivu sio madegree yenu na sijui una nyumba Kibaha. (japo sio jambo baya ukiwa navyo)
Binafsi nimeshaoa ila ningekua sijaoa na natafuta mke, hawa wakujitambulisha kwa idadi ya madegree yao na blah blah zingine nisingepoteza muda hata kuwasalimu tu, kwanini wasijieleze kwa quality za kike sifa ya mke, kwanini wakwepe kuelezea habari ya utii, heshida, etc jibu ni kua sifa hzo yamkini hawana kwahyo wanajipaka manukato ya sifa za kimafanikio, maelimu etc
Mwanamke wa hivi hata ukitoka nae on a date mazungumzo yake sio kuhusu maadili ya kwao wala utii wake hapana mazungumzo yake atajitahidi kuongelea degree yake, na blah blah na wanajionaga wanafaa kweli kua mke haa ha haa
Nawatahadharisha au nawapa angalizo kwa mwendo huo mtawapata wanaume type ya Uchebe ila kwamwe sio high value men. Au nisiwapangie basi endeleeni hivyo hivyo yamkini wanaume mnaowataka ni kina Uchebe maana sidhani mwanamke anaejifisia nina degree nina blah blah blah yuko tayari kuishi na kubehave kama mke.
Na last thing to say, men are very smart. Wanawatumia hawa wanawake na kwenda kuoa feminine ladies its so sad hawa masculine ladies wanaendelea kua masingle mothers.
Ila big up sana kwenu wanawake wenye elimu na carrier ila mnajitambulisha kwa feminine characters (maelimu na mafanikio hayajauondoa uanamke ndani yenu) japo ni wachache SANA.
Na wewe kama mwanaume maswali hayo utamuuliza ya kazi gani,ni secretary unatafuta au unatafuta nyumba ya kupanga hadi umuulize kama ana nyumba au hana?We jamaa vipi yaaani kwahiyo akiulizwa jayo maswali a atakuwa ajibu vipi