SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 4,796
- 8,982
Mnawivu sana na ni wachawi sana hadi kero .
Kila kitu mmejawa na wivu sana .
Kila kitu mmejawa na wivu sana .
Humu nilipo wanawake wananionea gereVipi mkuu mchango wako Jana ndio umeleta wivu sio😂
Pole mkuu, jaribu Ku upgrade in silence!Aq
Humu nilipo wanawake wananionea gere
Sio hapa jf hapana jf wala siwahanyi hata nininapoishi japo humu wapo ila sijawaweka akiliniPole mkuu, jaribu Ku upgrade in silence!
Kufanya kazi na mwanamke ni bora ukafanya kazi majini au mashetani kuliko wanawake.Mnawivu sana na ni wachawi sana hadi kero .
Kila kitu mmejawa na wivu sana .
Acha tu acha tu wanakustudy wanakupa jambo Mungu anajuaKufanya kazi na mwanamke ni bora ukafanya kazi majini au mashetani kuliko wanawake.
Pole, kamsemee kwa babaakeMtakuja uliwa muache familia zenu hakuna wakuwa tunza haya endeleni na ujinga simkatafute kama wengine wanaotafuta
Waongezee dozi, kama ilikuwa ni matofali umeanza kuleta, sasa hv anza kuchimba msingi.Aq
Humu nilipo wanawake wananionea gere
Wanawake wana wivu, roho mbaya,husda kijicho,unafiki,majungu, umbea,fitina na kujipendekeza kinafiki kwa maboss au wakuu wa idara bila kusahau ushirikina na usaliti yaani hutakiwi kupanga jambo na kiumbe cha kike muda wowote itakula kwako, ndo maana napenda kuwagongelea misumali bila huruma..... Nashukuru kwa kuwafahamu wanawake wenzio ndio maana wachawi wengi ni wanawake.Acha tu acha tu wanakustudy wanakupa jambo Mungu anajua
Sijui alipotokea kijijini ganiPole, kamsemee kwa babaake
Asilimia kubwaWanawake wana wivu, roho mbaya,husda kijicho,unafiki,majungu, umbea,fitina na kujipendekeza kinafiki kwa maboss au wakuu wa idara bila kusahau ushirikina na usaliti yaani hutakiwi kupanga jambo na kiumbe cha kike muda wowote itakula kwako, ndo maana napenda kuwagongelea misumali bila huruma..... Nashukuru kwa kuwafahamu wanawake wenzio ndio maana wachawi wengi ni wanawake.
🤣🤣🤣Aq
Humu nilipo wanawake wananionea gere
Nawe kambea niko na babu yako hawara yako natamba naye wewe unajichekesha hapa humu jf kwani kunawanawake ni mimi tu wote madume
Duh! AyaNawe kambea niko na babu yako hawara yako natamba naye wewe unajichekesha hapa humu jf kwani kunawanawake ni mimi tu wote madume