Mzee baba uwajui vizuri wanawake vizuri au huna experience kubwa kwenye hili ndio maana unaongea hivyo kuna wanawake wapo vizuri na kuna wengine ni matapeli by nature hata uwe wa namna gani
Jitahidi kutoa hela ambayo hata ukipoteza haikuumi..ona sasa unateseka..asilimia kubwa ya wanawake wa miji mikubwa ni matapeli na malaya..wanaoishi maisha ya aina hiyo.