Wanawake acheni mitego hii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kasie yo nuts, nimecheka kama chizi hadi watu wananishangaa. Haswa hapo ulipomalizia.


Sitanii ujue kweli tabs tuache masihara, EMT ni habari ingine.

Hehehheheheee mwambie Daby asihofu, fimbo ya mbali haiui nyoka yeye yuko karibu hapa anapata vingi zaidi.
 
wanakuona haujiongezi wanakuboost boost kidogo akili ishtuke.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi ule mpaka wa udada na ukaka tuliuvuka lini?
siku nyingiii sana muda mfupi tu baada ya Mzee Mkapa kuanza awamu ya pili
 
Lahaula.

Mwanaume hafukuzwi hivyo wala kusimangwa shauri yako muulize Nalendwa mwanaume anabembelezwa kwa massage ukiwa kwa kifuniko cha asali.

Shauriyo.
wengine vifuniko vya asali vinapigwa teke vinarukia nyumba ya jirani
 

Siulizi alisababishaje...nachouliza tu siku hizi yupo wapi simwoni.

Live it love it...hivi wewe ndiye uliianzisha hii au mimi!
 
Siulizi alisababishaje...nachouliza tu siku hizi yupo wapi simwoni.

Live it love it...hivi wewe ndiye uliianzisha hii au mimi!


Heeehh.... hata sijui yuko wapi, vile najua na yeye ni baba yeyoo nikajua ni binamu yako hivo unafahamu yuko wapi. Sijamsoma kitambo kwakweli.

Live it Love it muasisi wake ni wewe, nimeuweka hapa kukumbushia enzi na enzi....
 
Kasie bado nina deni lako, natafutia wewe muda na nafasi...

Wuuhuuuuu umeona sasa sababu nakumisigi.... Sababu huwa unakumbuka ahadi zako hata ipite miaka.

Muda na nafasi niko nayo ukitaka ntakuazima yangu, yaani kuanzia leo naanza kuoga kabisaa na kunyoosha nguo ya siku ya deni eehehehheheee

Hata usingizi hautakuja kusubiria nisijepitwa na siku ya deni aahahahhahaa.

Usiache msalimu Msafiri.
 
N
Mwingine anajua hajafunga PM halafu eti ananipa like.

Sijui mnatutakia nini sie watoto wa wanawake wenzenu. Utaona tu hapa watanipa.
Nakunyima like yangu😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…